• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Sheikh wa Mkoa wa Rukwa akanusha uzushi unaoenea mitandaoni wenye lengo la kumchafua.

imewekwa Tar: October 24th, 2020

Sheikh wa mkoa wa Rukwa Rashid Akilimali amekanusha uzushi unaoendelea kusambazwa katika mitandao ya kijamii ukimuhusisha kuandika barua ya pongezi kwenda makao makuu ya Baraza la Waislamu Tazania (BAKWATA) kwa jitihada za hali na mali zilizofanywa na Baraza hilo kuhakikisha waislamu waliogombea nafasi za uwakilishi wanashinda katika kura za maoni na hatimae kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Sheikh Akilimali alisema kuwa dhamira ya barua hiyo ni kuchafua na kumdhalilisha na kuthibitisha kuwa yeye si muumini wa chama chochote cha siasa isipokuwa kazi yake tangu kampeni za uchaguzi mkuu zianze ni kuhamasisha Amani pamoja na kuwahubiria waumini kushiriki katika kupiga kura tarehe 28.10.2020 na kumchagua mtu ambaye wanamuona atawaletea maendeleo katika jimbo lao nchi yao, na mkoa wao kwa ujumla.

“Hivyo basi napenda kuwathibitiesheni kwamba barua hii, sikuiandika mimi, haina saini yangu na wala haina hata nembo ya baraza kuu la waislamu wa Tanzania, barua ambazo zinaandikwa na ofisi yet umara nyingi zinakuwa na nembo yetu, zinakuwa na kumbukumbu namba na lazima zisainiwe na mtu aliyoiandika, tunatoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Rukwa waelewe barua hii ni ya kumchafua Sheikh Rashid Akilimali, barua iliyojaa ulaghai na uwongo mkubwa na si kweli yaliyotamkwa ndani ya barua hii,” Alisisitiza.

“Kama ni kuandika barua ningemu-address bosi wangu ambaye ni Mufti wa Tanzania ndio ningempelekea barua, lakini barua haioneshi hivyo, inaonesha inatoka ofisi ya mkoa inaelekea baraza kuu la Waislamu Tanzania, yaani hata mwandishi mwenyewe hana maana na wala sio mtambuzi wa mambo na amejaribu kunukuu aya za Qur’an ndani yake, aya zinazoleta mauaji na kidha wa kadha, vita huu ni uchochezi ambao mimi binafsi na baraza langu la mashekhe mkoa wa Rukwa hatulikubali,”

“Hivyo basi namtaka aliyoandika barua hii anitake radhi kabla sijamchukulia hatua za kisheria na tayari nimekwishamtambua, ofisi yangu imeshafanya uchunguzi, tumemtambua mwandishi wa barua hii, na baadhi ya wanasiasa wanaitumia barua hii kuinadi kwaajili ya maslahi yao,” Alisema.

Katika kusisitiza hilo Sheikh Akilimali ametoa siku 14 kwa mtu huyo kumuomba radhi na kuwaonya wanasiasa wote ambao wanaendelea kuinadi barua hiyo kwenye majukwaa yao ya kisiasa kuacha mara moja kwani wasipofanya hivyo atawachukulia hatua za kisheria.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa