• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Stendi Kuu ya Mabasi Sumbawanga kufunguliwa mwezi Mei

imewekwa Tar: April 15th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga kuhakikisha stendi kuu ya Mabasi iliyopo Katumba Azimio katika Manispaa hiyo kuwa inafunguliwa ifikapo tarehe 15.5.2021

Mh. Wangabo amesema kuwa awali Mkurugenzi huyo alitaka kuifungua stendi hiyo mwezi 29.1.2021 na kushindikana baada ya baadhi ya miundombinu kutokamilika vizuri na hivyo kuwaopa wiki moja kurekebisha miundombinu hiyo ndipo waifungue stendi hiyo tarehe 5.2.2021 na matokeo yake stendi hiyo haijafunguliwa hadi mwezi huu Aprili.

“Mpaka tarehe 15.5.2021 uwe umekamilisha kwa maana, ninyi ndio mliotaka kufungua siku moja kabla ya siku ile mi kufika (28.1.2021) halafu leo kuanzia mwezi ule wa pili, wa tatau, wa nne, unaongeza tena mwezi mwingine, imetoka wapi? Mkurugenzi fanya juu chini tarehe 15.5.2021 iwe mwisho, tunahitaji mapato pia, wananchi hawa wameeleza kero nyingi hapa zinahitaji fedha na fedha hizi zinatakiwa zitoke halmashauri sio kwa Mkuu wa mkoa,” Alisisitiza.

Mh. Wangabo alisema hayo (14.5.2021) katika hafla fupi ya kukabidhi hati kwa wananchi 13 wa Mtaa wa Sokolo baada ya zoezi la urasimishaji makazi katika mtaa huo kuisha na kuongeza kuwa kuwa ili changamoto za wananchi zitatuliwe halmashauri zinatakiwe zikusanye pesa kwa wingi na kutatua changamoto hizo na stendi hiyo ikikamilika ina uwezo wa kukusanaya karibu shilingi bilioni moja na hivyo kurahisisha mahitaji ya wananchi

Aidha katika hatua Nyingine Mtendaji mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Elirehema Kaaya alipotembelea katika stendi hiyo tarehe 15.4.2021 katika ziara yake ya kutembelea miradi ya kimkakati iliyopo Manispaa ya Sumbawanga alisema kuwa ni vyema Manispaa hiyo ikazingatia maelekezo ya Mkuu wa Mkoa ili kuongeza mapato katika halmashauri.

“mkurugenzi ameniambia kwamba utayari wa wamiliki wa mabasi uko juu sana, wako tayari kuja wakati wowote hapa, kama alivyotoa maelekezo mkuu wa mkoa, kufikia tarehe 15.5.2021 wajitahidi kukamilisha ili kuhakikisha stendi hii inafanya kazi ili kukidhi madhumuni ya stendi hiyo ambayo ni kupunguza msongamano mjini pamoja na mapato, mimi nakijita kwenye mapato kwasababu ndio lengo kubwa, tupate mapato ambayo yatatusaidia kutoa huduma kwa wananchi,” Alisema.

Mapaka tarehe 15.4.2021 stendi hiyo imeshakamilika kwa asilimia 92 na kubakisha maeneo machache ikiwemo vibanda vya mama lishe na wafanayabiashara ambavyo vinaweza kuendelea kumaliziwa wakati stendi hiyo ikiendelea kufanya kazi.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI BINGWA 33 WAPOKELEWA RUKWA, HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA HOSPITALI ZA WILAYA KWA SIKU TANO

    May 19, 2025
  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa