• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

TASAF

imewekwa Tar: February 5th, 2023

TASAF IFUNDISHE STADI ZA KUKUZA KIPATO - RC SENDIGA

Na. OMM Rukwa

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameagiza wataalam wanaosimamia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika ngazi ya halmashauri kuwafundisha wanufaika stadi za kazi zitakazosaidia kuinua kipato cha wananchi.

Ametoa kauli hiyo ( Februari 04,2023) wakati kukagua kikundi cha wanufaika wa TASAF waliopo kijiji cha Ilemba Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga wanaojishughulisha na mradi wa miti ya matunda na mbao.

“Wafundisheni wanufaika hawa kuwa na miradi yao ya mashamba ya miti au ufugaji mifugo katika kaya zao ili kipato kidogo wakipatacho toka serikalini kiwe ni mtaji wa kukuza uchumi . Wafikirie kubuni miradi siyo kutegemea fedha za TASAF” alisema Sendiga.

Sendiga aliongeza kusema fedha wanazopata wanufaika siyo fungu la mirathi na kuwa wasipewe kama sadaka bali wafundishwe ujasiliamali wa kuwa na miradi yao ili siku serikali ikisitisha programu hiyo waweze kujitegemea.

Nao wanufaika wa TASAF toka kijiji cha Ilemba waliozungumza na mwandishi wetu walikuwa na haya ya kusema ,Everada Kapaya alisema amenufaika na mfuko wa Tasaf tangu mwaka 2015 ambapo ameweza kujenga nyumba ya vyumba viwili na kusomesha watoto wake wanne pamoja na kuanzisha ufugaji wa ng’ombe mmoja .

Evarada alisema ‘nashukuru serikali kwa mradi huu wa Tasaf na ninaomba Rais Samia Suluhu Hassan aendelee kutusaidia ili tuweze kusomesha watoto wapate elimu nzuri” .

Naye Elizabeth Pesambili mkazi wa Ilemba alisema kupitia mfuko wa Tasaf ameweza kulea wajukuu zake 16 ambao aliachiwa na watoto wake  na kuwa sasa ana miaka mitano akipata pesa toka serikalini.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa huyo wa Rukwa alikagua miradi ya ujenzi wa zahanati kijiji cha Muze, Uzia, Hospitali ya Wilaya Mtowisa pamoja na shule za sekondari Mazoka na Ilemba .

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Jane Nyamsenda akizungumza kwenye ziara hiyo alisema atahakikisha anashirikiana na wananchi wa Sumbawanga kutekeleza miradi yote iliyopo na kubuni mingine kwa ustawi wa jamii.

Mwisho.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa