• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

TFS waomba msaada utunzaji wa mazingira kuokoa maporomoko ya Kalambo.

imewekwa Tar: March 16th, 2018

Wakala wa Huduma za Misitu wilaya ya Kalambo wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo pamoja na Halmashauri zote, kushirikiana pamoja katika kutunza na kuhifadhi vyanzo vya maji hasa yale yanayopeleka maji yake katika maporomoko ya mto Kalambo ili kuweza kutunza eneo hilo linalotarajiwa kuiingizia serikali mapato kutokana na utalii.

Kaimu meneja wa Wakala wa Huduma za Misitu Chesco Lunyungu ameyasema hayo baada ya kutembelewa na msafara wa Mkuu wa Mkoa uliokwenda kwenye maporomoko hayo kujionea utekelezaji wa uimarishaji wa ujenzi wa ngazi unaoelekea maji yanapodondokea ili kuwarahishia watalii kuweza kufika katika eneo hilo kwa urahisi.

“Tunaomba wananchi wote wanoishi katika vijiji ambavyo maji haya yam to kalambo yanatoka tuwahamasishe wananchi wote kwa kushirikina na Halmashauri zetu tuendelee kuhifadhi mazingira, kwasababu maporomoko haya yanategemea sana maji na maji yanategemea uhifadhi wa mazingira kwa hiyo kutoweka kwa mito hasa mto Kalambo kutasababisha kupoteza rasilimali hii na kupoteza watalii,” Alisema.

Katika Kuhakikisha jambo hilo halifumbiwi macho nae Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesema kuwa kadiri miaka inavyozidi kwenda ndipo maji hayo yanapungua endapo mazingira hayatahifadhiwa hivyo alitoa rai kwa wananchi.

“Nitoe rai kwa wananchi wote wa maeneo haya kutunza na kuhifadhi mazingira watu wasikate miti hovyo na wasijishughulishe na jambo lolote ndani yam situ huu wauwache huu msitu kamaulivyo na tutakuwa wakali sana kwenye utunzaji wa mazingira, hatutaki kupoteza haya maporomoko ambayo yanasifa kubwa katika nchi yetu, tutahakikisha mtu yeyote ambaye anaharibu mazingira tutamchukulia hatua kali sana za kisheria, kama kuna mtu yeyote analeta usumbufu TFS tuambiane ili tushirikiane bega kwa bega, vijiji vyote tutavipa elimu ili kutunza mazingira na kulinda utajiri huu,” Alimazia.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa