• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Timu zatahadharishwa kutoingia Uwanja wa Nelson Mandela na Matokeo

imewekwa Tar: December 29th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa tahadhari kwa timu za Yanga na Tanzania Prison kutoingia uwanjani na matokeo katika mchezo wao wa raundi ya pili utakaochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga siku ya Alhamisi ya tarehe 31.12.2020

Amesema kuwa timu hizo mbili zilipokutana katika raundi ya kwanza jiji Dar es Salaam hakukuwa na mbabe hali ambayo inaifanya vinara wa ligi hiyo kukamia kupata pointi tatu ugenini huku Tanzania Prison ikikataa kuwa mnyonge katika uwanja wa nyumbani na hivyo kutokubali kufungwa na kuwakumbusha kuwa mchezo una matokeo matatu na kila timu iwe tayari kuyapokea matokeo hayo.

“Wapenzi wa mpira wa miguu wafike kwa wingi waweze kujione mshindi atakuwa ni nani, kwasababu mpira una matokeo matatu, kuna kushinda, kufungwa lakini pia kuna sare, timu zote mbili zijiandae kwa matokeo hayo matatu, isije mtu anakuja na matokeo yake hapa kwamba mimi nitashinda halafu akashindwa halafu akafanya fujo, sasa sisi vyombo vya ulinzi na usalama tumeshajiweka vizuri kwa fujo zozote ambazo mtu amejiandaa nazo aziache huko huko,” Alisisitiza.

Mh. Wangabo ameyasema hayo alipokwenda kuutembelea Uwanja wa Nelson Mandela ili kujionea maandalizi ya uwanja huo kabla ya mechi ya ligi kuu baina ya Young Africans Sports Club na Tanzania Prisons itakayochezwa katika uwanja huo kabla ya mkesha wa mwaka mpya wa 2021.

Aidha aliongeza kuwa mpira ni furaha na pia ni urafiki ingawa kuna ushindani na kushinda na kushindwa ni matokeo ya mchezo na hivyo kuwakaribisha wapenzi wa mpira kutoka meneo tofauti ya ndani ya mkoa Pamoja na mikoa ya jirani ili kushuhudia historia ikitengenezwa katika uwanja wa Nelson Mandela Mjini Sumbawanga kabla yam waka 2020 kuisha.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa