• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

TUMIENI JENGO LA HALMASHAURI KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

imewekwa Tar: July 16th, 2024




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kutumia jengo jipya la halmashauri kutoa huduma bora kwa wananchi.


Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito huo kwa watumishi wa halmashauri hiyo, wakati akiongea na wananchi wa Kalambo mara baada ya kulizindua jengo hilo la kisasa.


Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema, jengo hilo linatumiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri, Mwenyekiti wa Halmashauri na watumishi wa Idara zote ambao watakua wanatoa huduma kwa wananchi ndani ya jengo moja.


“Jengo hili litarahisha uratibu wa shughuli za halmashauri na utoaji wa huduma kwa wananchi, hivyo niwaombe watumishi mtakaolitumia mtimize wajibu wenu kwa kutoa huduma nzuri kwa wananchi ambao ndio wajiri wetu,” Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesisitiza.


Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongeza kuwa, Serikali yake imeboresha mazingira ya kufanya kazi kwa watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kwa kujenga jengo zuri la halmashauri, hivyo anatarajia watalitumia kutatua changamoto zote zinazowakabili wananchi.


Aidha, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewahaidi wananchi wa Kalambo kuwa, Serikali yake itaendelea kuijenga hamashauri yao kwa kuendelea kufanyia kazi changamoto zote zinazowakabili.


Leo ni siku ya pili ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Rukwa, ambapo ameitembelea Wilaya ya Kalambo na kuzingua Jengo la Halmashauri hiyo lililojengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 4.5.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa