• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Tusisubiri misaada kufanyia kazi masuala ya UKIMWI” RAS Rukwa.

imewekwa Tar: December 4th, 2017

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa David Kilonzo amewaonya watumishi wa sekretarieti ya Mkoa wa Rukwa kutosuburi misaada kutoka nje ndipo wayafanyie kazi masuala ya UKIMWI na badala yake wayasimamie na kuyajadili kila wanapopata nafasi ya kufanya hivyo.

Amesema kuwa Suala la UKIMWI ni lazima lichukuliwe hatua na watanzania wenyewe kama waathirika wakuu na kama tutaendelea kusubiri misaada ndipo tujadiliane na kushughulikia masuala ya UKIMWI basi vifo vitaongezeka.

“Misaada kutoka nje haiwezi ikatufanya tukabadilika, tunatakiwa sisi wenyewe kila mara kupata muda wa kujadili kuhusu suala la UKIMWI kwasababu UKIMWI upo pamoja na sisi, UKIMWI hauchagui Idara wala Taasisi, hivyo hatuna budi kuendelea kujikinga na kuhamasisha wengine wajikinge,” Alisema

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua mafunzo ya siku moja ya UKIMWI na magonjwa yasiyoambukizwa kwa watumishi wa sekretarieti ya Mkoa wa Rukwa chini ya udhamini wa shirika la Walter reed.

Kwa Upande wake mratibu wa TACAIDS Mkoa wa Rukwa Daniel Mwaiteleke amesema kuwa kwa Mkoa wa Rukwa maambuki ya UKIMWI yamepungua kutoka 6.2% mwaka 2012 hadi kufikia 4.4% kwa mwaka 2017 na kuongeza kuwa hadi sasa watu milioni 1.4 wanaishi na UKIMWI ukilinganisha na mwaka 2012 ambapo palikuwa na watu milioni 1.6 walioishi na UKIMWI.

“Zaidi ya Watu 72,000 hupata maambuki mapya ya UKIMWI kila mwaka na watu 78,000 hufariki kila mwaka kutokana na magonjwa yanayosababishwa na UKIMWI,” alisema.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE( CSEE) 2025 January 31, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SUMBAWANGA; ASISITIZA UMUHIMU WA HATI MILIKI ZA MAENEO YA TAASISI

    January 29, 2026
  • UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO; RC MAKONGORO AHIMIZA UBORA NA KUZINGATIWA KWA MUDA WA UTEKELEZAJI NKASI DC

    January 28, 2026
  • KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAIS SAMIA; RC MAKONGORO AMUUNGA MKONO KWA KUONGOZA WANANCHI RUKWA KUPANDA MITI 4565

    January 27, 2026
  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa