• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA WAFIKIA ASILIMIA 80; RC MAKONGORO APONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

imewekwa Tar: July 22nd, 2025

UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA WAFIKIA ASILIMIA 80; RC MAKONGORO APONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI


Sumbawanga.


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere, amefanya ziara ya ukaguzi katika mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga leo Julai 22, 2025 na kueleza kuridhishwa na kasi ya utekelezaji, ambapo kwa sasa ujenzi huo umefikia asilimia 80.


Katika taarifa ya maendeleo ya mradi huo, msimamizi wa ujenzi wa mradi huo Bw. Joseph Stephen Jimonge ameeleza kuwa tayari maeneo muhimu kama uwekaji wa tuta la kushukia ndege umekamilika kwa asimilia 100, eneo la maegesho ya magari kwa asilimia 98, mitaro ya maji kwa asilimia 98 na barabara ya kuingia uwanjani yamekamilika kwa asilimia 96. Ujenzi wa jengo la abiria kwa sasa umefikia hatua ya asilimia 85, huku mradi mzima ukitarajiwa kukamilika ifikapo Oktoba 2025.


Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Mheshimiwa Makongoro amesema kukamilika kwa kiwanja hicho kutakuwa chachu kubwa kwa uchumi wa Mkoa wa Rukwa kwa kurahisisha usafirishaji wa mazao ya kilimo, bidhaa, pamoja na kufungua fursa mpya za uwekezaji hasa katika sekta ya madini kama vile shaba, helium, na chuma.


“Kukamilika kwa kiwanja hiki ni hatua muhimu katika kuiunganisha Rukwa na mikoa mingine, na pia na nchi jirani. Ni fursa ya kiuchumi ambayo italeta mageuzi makubwa kwa wananchi wetu,” amesema RC Makongoro.

Mradi huu ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuboresha miundombinu ya usafiri wa anga na kuharakisha maendeleo ya kiuchumi nchini.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA - 2025, KULINGANA NA MATOKEO YALIYOTANGAZWA NA BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA (NECTA) June 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RUKWA YAENDELEA KUCHUKUA HATUA THABITI KUDHIBITI VIFO VYA MAMA NA MTOTO

    July 28, 2025
  • RUKWA YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU JUMUISHI YA TAIFA YA MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO

    July 24, 2025
  • INEC YAWATAKA WATENDAJI WA UCHAGUZI KUZINGATIA VIAPO VYAO NA MAADILI YA KAZI

    July 23, 2025
  • INEC YAWATAKA WATENDAJI WA UCHAGUZI KUZINGATIA VIAPO VYAO NA MAADILI YA KAZI

    July 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa