• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Ukaguzi Madarasa Manispaa

imewekwa Tar: December 3rd, 2022

SENDIGA ARIDHISHWA NA UJENZI WA MADARASA MANISPAA YA SUMBAWANGA

Na. OMM Rukwa

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi vyumba Hamsini (50) vya madarasa kwenye shule za sekondari za Manispaa ya Sumbawanga kutokana na ubora na kasi ya ujenzi .

Ametoa pongezi hizo wakati wa ziara ya siku moja jana (Desemba 02,2022) aliyoifanya kukagua utekelezaji wa mradi huo unaolenga kuongeza nafasi ya vyumba vya madarasa kwa ajili ya mapokezi wa wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023.

Akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba, mkuu huyo wa mkoa alikagua maendeleo ya ujenzi kwenye shule za Itwelele, Lwiche, Kizwite, Kanda, Mazwi, Sumbawanga na Mhama ambapo madarasa hayo 50 yatakamilika Desemba 15 mwaka huu.

“Nimeridhishwa na namna kazi ilivyo nzuri ambapo nimeona mafundi na wasimamizi wakiwa kazini huku thamani ya fedha za serikali kwenye miradi hii ikiwa ikiaonekana tofauti na zamani” alisema Sendiga.

Sendiga akiongea na waandishi wa habari alisema ataendelea kuhakikisha halmashauri zinatekeleza miradi ya maendeleo kwa ubora na kuzingatia matumizi sahihi ya fedha za umma na kuwa ataendelea kufuatilia bila kuchoka.

Serikali iliupatia mkoa huo shilingi 3, 820,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 191 za madarasa kwenye sekondari ili kumaliza tatizo la uhaba wa madarasa pamoja na madawati.

Mgawanyo wa vyumba vya madarasa hayo kwa kila halmashauri ni Manispaa ya Sumbawanga (56), Nkasi (26 ), Kalambo (63 ) na Sumbawanga DC ( 46) na kuwa madarasa hayo yatakamilika Desemba 15 mwaka huu .

Kwa upande wake Meya wa Manispaa ya Sumbawanga Justin Malisawa alitoa wito kwa wazazi na walezi kujiandaa kuwapeleka shule watoto wao kwani serikali imeweka miundombinu karibu na maeneo yao na kuwa hakuna tena kikwazo kuhusu uhaba wa vyumba vya madarasa kwenye shule za msingi na sekondari.

Naye Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Rukwa Matinda Mwinuka alisema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa madarasa umefikia asilimia 73 kimkoa .

Mwisho.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa