• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Umeme vijijini kupunguza vijana kukimbilia mijini” Dk. Kalemani

imewekwa Tar: January 31st, 2018

Waziri wa Nishati Dk. Medard Kalemani amesema zoezi linaloendelea la kusambaza umeme vijijini kupitia mradi wa REA litapunguza wimbi la vijana kukimbilia mijini na kubaki vijijini kwakuwa mradi huo una lengo la kusogeza fursa za kiuchumi zinazotegemea umeme katika maeneo yao.

Amesema kuwa serikali inatambua kuwa kuna uhitaji wa umeme mkubwa ingawa umeme unaozalishwa kwa sasa unakidhi mahitaji yaliyopo katika mkoa wa Rukwa ila mahitaji yanategemewa kuongezeka kadiri uchumi wa viwanda utakavyozidi kukuwa hivyo ni jukumu la serikali kujiandaa kukabiliana na hali hiyo.

“Hii nyanda ya Kaskazini magharibi kuanzia Mbeya, Sumbawanga, Mpanda hadi Kigoma kuna shida ya umeme mkubwa ingawa sasa umeme upo lakini ni wa gharama kwasababu ni wa mafuta na ni mkakati wa serikali kuleta umeme mkubwa, tulishaanza hatua za awali za ujenzi wa umeme mkubwa wa KV 400 kutoka Mbeya – Sumbawanga – Mpanda hadi Kigoma mrdi unaotegemewa kumalizika July 2019,” Amesema.

Awali akisoma taarifa ya hali ya umeme katika Mkoa wa Rukwa, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachima Wangabo amebainisha uwepo wa viwanda 26 vinavyohitaji huduma ya umeme ikiwemo viwanda vya kusindika nafaka na Samaki.

“Tumefanya tathmini na kubaini viwanda 26 ombi letu kwako ni kutusaidia viwanda hivi viweze kupata umeme kwa sababu uendeshaji wake ni ghali sana kwa sasa. Baadhi ya viwanda hivyo vimefungwa kwa sababu havina nishati hiyo ya Umeme.”Mh. Wangabo alibainisha.

Mkoa wa Rukwa unapata umeme kutoka nchi jirani ya Zambia. Pamoja na kupata umeme kutoka kwenye gridi ya Zambia Mkoa wa Rukwa una mashine nne zinazotumia mafuta mazito (IDO). Umeme unaozalishwa kupitia mifumo hiyo ni Megawati 9.5 ikiwa 5MW ni za mashine na 4.5MW za gridi ya Zambia.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa