• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

UMOJA NA MSHIKAMANO SILAHA ZA MAFANIKIO MIAKA 62 YA UHURU

imewekwa Tar: December 9th, 2023

Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amesema kuwa mafanikio yaliofikiwa na Tanzania kwa kipindi cha Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara hayakuwahi kufikiwa na wakoloni kwa kipindi cha miaka 77 ya ukoloni.Ametaja umoja na mshikamano kuwa silaha zilizoifanikisha Tanzania katika miaka 62 .

Mheshimiwa Makongoro Nyerere ameyasema hayo leo tarehe 09 Desemba  2023, wakati wa maadhimisho ya Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika kimkoa katika Wilaya ya Kalambo.


Akifunga mdahalo wa kujadili mafanikio yaliyofikiwa katika sekta mbalimbali katika kipindi cha Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amesema Mkoa wa Rukwa umepiga hatua kubwa ya maendeleo katika sekta za  Afya, Elimu, Miundombinu, Kilimo, Siasa, Teknolojia na Nishati.

Ameeleza kuwa mpaka kufikia tarehe ya maadhimisho ya Mwaka huu 2023, vijiji 289 kati ya 339 vya Mkoa wa Rukwa vina umeme.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema kuwa Sekta ya Afya imeendelea kuimarika na kuwa idadi ya Hospitali kwa Mkoa wa Rukwa inafikia Hospitali 7,  vituo vya Afya 25 na Zahanati 219 wakati idadi ya shule za Msingi ikifikia 401, Shule za Sekondari 112 vyuo vya kati 14 na vyuo Vikuu 2.


Amesema kuwa mafanikio hayo yamefikiwa kutokana na umoja na mshikamano uliokuwepo kuanzia Serikali ya awamu ya kwanza hadi Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan.


Mheshimiwa Makongoro amewaomba wananchi wasikubali kugawanywa kwa rangi, ukabila, dini au kwa namna yeyote ile  bali wazilinde tunu za Taifa na  misingi imara iliyoasisiwa na waasisi wa Taifa la Tanzania.


Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa