• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Viongozi wa serikali waaswa kutoingilia maamuzi ya mabaraza ya ardhi

imewekwa Tar: May 6th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewaasa viongozi wa serikali Pamoja na Viongozi wa kisiasa kutunza uhuru wa mahakama kwa kutoingilia mashauri ama maamuzi yanayoafikiwa na mabaraza ya ardhi na nyumba mkoani humo hata kama wananchi watawafuata na kuwataka waingilie maamuzi hayo.

Ameelekeza kuwa suala likisha amriwa na baraza la ardhi na nyumba atakayeshindwa akate rufaa na sio kwenda kwa Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa serikali ya mtaa au Kijiji kulalamikia maamuzi ya baraza.

“Vyombo vya kisheria vina utaratibu wake, kama hukuridhika na maamuzi, yaliyotolewa na baraza hili la ardhi na nyumba basi ngazi inayofuata ni kukata rufaa, kwahiyo unashauriwa ukate rufaa, mwisho lakini si kwa umuhimu, nimshukuru sana mheshimiwa Waziri wa Ardhi na Nyumba Pamoja na Naibu wake kwa kukubali kuanzishwa kwa Baraza la Ardhi katika Wilaya ya Nkasi na hatimae kuteua wajumbe,” Alisema.

Mh. Wangabo aliyasema hayo katika hafla fupi ya uapisho wa wajumbe wanne wa baraza la ardhi na nyumba alilolizindua leo tarehe 5.5.2021 katika ofisi hiyo mpya ya baraza hilo mjini mdogo wa Namanyerea, Wilayani Nkasi mbapo viongozi wote wa serikali na wa kisiasa walihudhuria hafla hiyo.

Akitoa ufafanuzi wa malalamiko wanayokutana nayo kutoka kwa wananchi, Mkuu wa Wilaya hiyo Mh. Said Mtanda alisema kuwa wananchi wengi wamekuwa na tabia ya kukimbilia kwa mkuu wa wilaya pindi wanapoona mwenendo wa kesi zao haupo upande wao na hivyo kuomba kusaidiwa.

“Tulipata mwananchi mmoja kutoka (kijiji) Isale, anakuja kulalamika kwamba kesi yake ipo baraza (la kata) lakini anahisi kama atapoteza matokeo huko katika baraza, kwahiyo badala ya kwenda kusikiliza kesi yake hukumu inatolewa, ameamua kukimbilia kwa mkuu wa wilaya anasema kuwa usalama wake upo hatarini, tunamuuliza mbona umetoka isale mpaka hapa bado usalama upo, lakini ameshindwa kutoka nyumbani kwake kwenda kwenye baraza,” Alisema.

Kwa upande wake mmoja wa wajumbe waliokula viapo katika hafla hiyo akiwakilisha wajumbe wenzie Bwana Emmanuel Kushoka alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kupigania kupatikana kwa baraza hilo na kuanzishwa kwake katika wilaya hiyo.

“Kwahiyo sisi kama wajumbe kama ulivyoelekeza ni kwamba sisi au kama kiapo chetu tulivyoapa ni kwamba tutakuwa waadilifu na wa kutenda haki bila ya kupendelea upande wowote, kwa nafasi hiy tunashukuru na tunaahidi kwamba tutatenda haki,” Alisisitiza.

Baraza hilo la Ardhi na Nyumba Wilayani Nkasi limelenga kupunguza mwendo wa walalamikaji kufika Sumbawanga kusikiliza kesi zao na kuongeza idadi ya mabaraza hayo katika Mkoa kuwa mawili huku moja likiwa Wilayani Sumbawanga, wajumbe wa kwanza waliokula viapo katika kuendesha baraza hilo wakiwa ni Emmanuel Kushoka, Reminisere Usiri, Mary Siame, na Albertina Kitaani.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa