• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Viongozi wa vyama vya kazi watakiwa kutoa semina ya sheria za kazi

imewekwa Tar: May 2nd, 2018

Katika Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani mkoani Rukwa Katibu wa chama cha wafanyakazi Mkoani Rukwa amewatakata viongozi wa vyama vya wafanyakazi kuhakikisha wanatoa mafundisho yanayolenga kuwaamsha wanachama juu ya mabadiliko ya sheria yanayojitokeza mara mara ili kuwa na uelewa wa haki zao.

“Natoa wito kwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi pamoja na kuwaomba maafisa kazi kuwa na tabia ya kusoma sheria makazini na kuwafundisha wanachama wao, kwani kiumekuwa na mabadiliko ya sheria ambazo wafanyakazi hawazifahamu hivyo wanahitaji kukumbushwa,”Alisema.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amewataka waajiri wote kuruhusu mabaraza ya kazi kufanyika kwa wakati na kuhakikisha wafanyakazi bora wanaongezewa kiwango cha zawadi ili kuongeza ushindaji wa utendaji kazi na hatimae kuinua uchumi wa Mkoa na wa Nchi kwa ujumla.

“Zawadi wanazopatiwa wafanyakazi bora ziongezwe, na wanaotangazwa kupewa zawadi wapewe kwa wakati ili wale ambao hawakupata mwaka huu, mwakani wajitahidi na hatimae kuleta ushindaji katika kutimiza majukumu yetu ya kila siku,” Alisema.

Pia alipongeza utaratibu wa chama cha wafanyakazi kuzifanya sherehe hizo kwa mzunguko katika kila Wilaya huku akieleza kuwa mwaka 2016, ilifanyika Wilaya ya Kalambo, mwaka 2017 ilifanyika Wilaya ya Nkasi na mwaka huu kufanyikia Wilaya ya Sumbawanga.huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa 'Kuunganishwa kwa mifuko ya jamii kulenge kuboresha mafao ya wafanyakazi'

Hayo yalijitokeza katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani inayosheherekewa kila ifikapo tarehe 1 mwezi wa 5 ya kila mwaka ambapo mwaka huu ilifanyikia katika viwanja vya Mandela, katika Manispaa ya Sumbawanga.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa