• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Viongozi wa vyama vya kazi watakiwa kutoa semina ya sheria za kazi

imewekwa Tar: May 2nd, 2018

Katika Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani mkoani Rukwa Katibu wa chama cha wafanyakazi Mkoani Rukwa amewatakata viongozi wa vyama vya wafanyakazi kuhakikisha wanatoa mafundisho yanayolenga kuwaamsha wanachama juu ya mabadiliko ya sheria yanayojitokeza mara mara ili kuwa na uelewa wa haki zao.

“Natoa wito kwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi pamoja na kuwaomba maafisa kazi kuwa na tabia ya kusoma sheria makazini na kuwafundisha wanachama wao, kwani kiumekuwa na mabadiliko ya sheria ambazo wafanyakazi hawazifahamu hivyo wanahitaji kukumbushwa,”Alisema.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amewataka waajiri wote kuruhusu mabaraza ya kazi kufanyika kwa wakati na kuhakikisha wafanyakazi bora wanaongezewa kiwango cha zawadi ili kuongeza ushindaji wa utendaji kazi na hatimae kuinua uchumi wa Mkoa na wa Nchi kwa ujumla.

“Zawadi wanazopatiwa wafanyakazi bora ziongezwe, na wanaotangazwa kupewa zawadi wapewe kwa wakati ili wale ambao hawakupata mwaka huu, mwakani wajitahidi na hatimae kuleta ushindaji katika kutimiza majukumu yetu ya kila siku,” Alisema.

Pia alipongeza utaratibu wa chama cha wafanyakazi kuzifanya sherehe hizo kwa mzunguko katika kila Wilaya huku akieleza kuwa mwaka 2016, ilifanyika Wilaya ya Kalambo, mwaka 2017 ilifanyika Wilaya ya Nkasi na mwaka huu kufanyikia Wilaya ya Sumbawanga.huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa 'Kuunganishwa kwa mifuko ya jamii kulenge kuboresha mafao ya wafanyakazi'

Hayo yalijitokeza katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani inayosheherekewa kila ifikapo tarehe 1 mwezi wa 5 ya kila mwaka ambapo mwaka huu ilifanyikia katika viwanja vya Mandela, katika Manispaa ya Sumbawanga.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa