• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Viziwi Sumbawanga wasifu elimu ya Kemikali waliopatiwa na ofisi ya mkemia Mkuu huku wakiwa na maombi kadhaa.

imewekwa Tar: August 15th, 2020

Wanachama na viongozi wa Taasisi ya Maendeleo ya Viziwi Tanzania (TADEDEA) kwa kushirkiana na Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Mkoani Rukwa wameridhishwa na elimu ya kutambua aina mbalimbali za kemikali zinazoweza kuwaathiri wakati wakijishughulisha na kazi mbalimbali za kijamii.

Akiongea mara baada ya Semina fupia iliyotolewa na Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kanda ya Mbeya Mwenyekiti wa CHAVITA Mkoani Rukwa Henry Kisusi alisema kuwa pamoja na kufurahishwa na uelewa walioupata kutokana na mafunzo hayo ni vyema mamlaka hiyo na taasisi nyingine zinazolenga kutoa mafunzo kwa viziwi zikaona namna ya kutumia lugha ya Kiswahili katika mawasilisho yao na vipeperushi kuliko kutumia kiingereza mabcho wengi hawakifahamu.

“Tunaomba wabadili changamoto za mada mbalimbali zinazotolewa, kuna mada nyingine zinatolewa kwa lugha ya kiingereza, wakati viziwi wengi ufahamu wa lugha ya kiingereza hawana na wapo ambao hawajui lugha ya alama, hivyo wanatumia macho katika kusoma kile mabacho kinaonyeshwa ubaoni, hivyo lugha hiyo inakwamisha uelewa wa mada nzima ya athari za serikali,” Alisema.

Aidha kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa TADEDEA Kelvin Mnyema aliiomba serikali ya Mkoa wa Rukwa kuona namna ya kuwasaidia Viziwi ambao wanajishughulisha na na Kilimo kwani wamekuwa wakipata changamoto kubwa katika kusafirisha mazao pamoja na kupata masoko.

Katika kulijibia hilo Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa David Kilonzo alithibitisha kuwa serikali ya Mkoa itahakikisha inatatua tatizo hilo pamoja na kero zilizowasilishwa na Chama hicho cha Viziwi na kuongeza kuwa Katiba ya Tanzania inampa haki kila mmoja bila ya kujali ulemavu walionao.

“Tumepokea orodha ya wakulima ambao wakati mwingine wakipata shida wakati wakisafirisha mazao yao kwenda sokoni, tumeyapokea, na kama serikali ya Mkoa tunaahidi kwamba tutawasaidia kumaliza kero kila tutakapokuwa tunazipokea, kama mnavyofahamu kwa mujibu wa katiba ya nchi yet una Ilani ya CCM ambayo ndiyo inayoongoza serikali imeweka pia katika vipaumbele vyake, masuala muhimu kwaajili ya watu wenye ulemavu,” Alisema.

Kwa upande wake Mkaguzi wa Kemikali kutoka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kanda ya Mbeya Rashid Mjema alisema kuwa elimu ya Kemikali ni kwaajili ya watu wote hata wale wasiojishughulisha nazo kwasababu ni vitu ambavyo vinatuzunguka kuanzia mashambani hadi barabarani.

“Tukienda maeneo mbalimbali kwa mfano migodini kuna Kemikali, mashuleni kuna kemikali, kwahiyo hili kundi tuliona ni muhimu na wao wakapata hii fursa kwasababu ni haki yao ya msingi kwa lengo la kulinda afya pamoja na mazingira, kwahiyo hatutaishia kwao tu pia tunafundisha wajasiliamali wanaotengeneza batiki, sabuni, vipodozi na vitu kama hivyo,” Alimalizia.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa