• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

WAANDISHI WA HABARI RUKWA WAASWA KUZINGATIA MISINGI NA MAADILI

imewekwa Tar: May 13th, 2023


Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Cuthbert Sendiga amewaasa waandishi wa Habari Mkoani Rukwa kufanya kazi zao kwa kuzingatia misingi na maadili ya uandishi wa habari.  

Ameyasema hayo tarehe 13 mei 2023 katika siku ambayo umoja wa waandishi wa Habari Mkoani Rukwa wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo habari duniani kimkoa. Kauli mbiu ya Mwaka huu ni “Kuunda mustakabali wa haki kama kichocheo cha haki nyingine zote za binadamu”.

Akizungumza katika maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mkuu huyo wa Mkoa aliyekuwa mgeni rasmi katika tukio hilo amewapongeza waandishi wa habari wa Mkoa wa Rukwa kwa kazi nzuri ya kuutangaza Mkoa na fursa za kiuchumi zilizopo. Pamoja na pongezi hizo mkuu wa mkoa amewaasa waandishi wa habari kuisaidia jamii ya Rukwa kwa kuielemisha huku wakizingatia misingi na maadili ya habari. Ameeleza kuwa wananchi wa Mkoa wa Rukwa bado wanakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo changamoto za lishe duni, ukatili wa kijinsia na uharibifu wa mazingira. Amewaomba wanahabari kutumia kalamu na sauti zao kukabiliana na changamoto hizo huku akiwasihi kuieleza jamii hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kukabiliana na changamoto zao lakini pia kuhamasisha umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi katika kukabiliana na changamoto zilizopo katika Mkoa wa Rukwa.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ametumia fursa hiyo kumshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia kwa kuendeleza juhudi za kuimarisha uhuru wa habari. Amewaelekeza Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Rukwa kuweka utaratibu wa kukutana na waandishi wa habari ili waweze kupokea Habari ziznzowahusu wananchi wao na kutoa Habari kuhusu namna Serikali inavyokabiliana na changamoto hizo. Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amesema mwandishi wa habari ni jicho na sikio na ni msaada kwa ufanisi wa Serikali.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa