• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Wadau wa Elimu

imewekwa Tar: January 15th, 2023

RUKWA KUFANYA MAPINDUZI YA ELIMU

Na.OMM Rukwa

Wadau wa elimu mkoa wa Rukwa wameazimia kuongeza jitihada katika kukuza sekta hiyo ili kuondokana na kushuka kwa ufaulu miongoni mwa wanafunzi.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Rashid Mchatta wakati akiwasilisha salamu za mkoa kwenye mkutano wa sekta ya elimu ulioandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI mjini Sumbawanga (Jumamosi 14 Januari,2023) .

Mchatta alisema mkoa huo umeweka mikakati ya kuinua kiwango cha ufaulu ikiwemo kuhakikisha shule zote zinakuwa na walimu, vifaa vya kufundishia na miundombinu mizuri na ya  kutosheleza kufuatia serikali kutoa shilingi Bilioni 3.7 za elimu bila ada kati ya Julai na Desemba 2022.

“Ufaulu wa mkoa umeshuka toka asilimia 80.15 mwaka 2021 hadi asilimia 77.9 mwaka 2022 kwa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi, mtihani wa darasa la nne mkoa umeshuka toka asilimia 79.95 mwaka 2021 hadi asilimia 75.6 mwaka 2022, mtihani wa kidato cha pili umeshuka toka asilimia 92 mwaka 2021 hadi asilimia 63.3 mwaka 2022” alisema Mchatta.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Elimu TAMISEMI Vicent Kayombo alisema taarifa zinaonyesha bado kuna wanafunzi wanamaliza darasa la saba bila kuwa na umahili na kuwa serikali imepanga kuondoa tatizo hilo.

Kayombo alibainisha mikakati itakayosaidia kukuza kiwango cha ufaulu wa wanafunzi kuwa ni kuhakikisha utoro wa wanafunzi unadhibitiwa pamoja na shule kuendelea kutoa chakula cha mchana .

Mkutano huo uliwakutanisha walimu wakuu, wakuu wa shule na maafisa elimu kata toka halmashauri zote nne za Sumbawanga, Nkasi, Kalambo na Manispaa ya Sumbawanga na kufunguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga kwa niaba ya Waziri wa Nchi Tamisemi Angela Kairuki.

Mwisho.

Matangazo

  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAS Mchatta akagua miradi

    January 26, 2023
  • Wadau wa Elimu

    January 15, 2023
  • Ruwasa

    January 03, 2023
  • Waziri Mkuu Aanza Ziara Rukwa

    December 14, 2022
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa