• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Wafanyabiashara waombwa kuwa na huruma na wanaofunga mwezi wa Ramadhan

imewekwa Tar: April 16th, 2021

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewaomba wafanyabiashara nawatoa huduma mbalimbali mkoani humo kutopandisha gharama za mazao na mahitaji mbalimbali katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan ili kuwahurumia Waislamu wanaoendelea na mfungo wa Mwezi wa Ramadhan.

“Niwaombe sana wafanyabiashara na watoa huduma, hiki sio kipindi cha kujineemesha ni kipindi cha tafakari, ni kipindi cha kuwa Pamoja, kipindi cha kuhurumiana, kipindi cha sadaka, sio kipindi cha kuona kwamba sasa ni kipindi cha kupata mapato Zaidi, niwaombe msiongeze bei za vyakula, niwaombe msiongeze bei za huduma mbalimbali, mwaka jana mlinisikiliza, hali ilikuwa nzuri, ni matarajio yangu hata mwaka huu pia, bei za vyakula sokoni, viazi, mihogo, sukari na bidhaa nyingine hazitapanda,”

“lakini kama itatokea watu wataokwenda kinyume, niwatahadharishe, serikali ipo na itafuatilia kila mahali, ili tusitese watu ambao tayari wanajitesa, mtu anajinyima, anashinda njaa, anakula jioni ile na wewe unaamua kumtesa Zaidi, kuwabebesha mzigo mkubwa Zaidi, hii haikubaliki, tuhurumiane, tupendane, bila ya shaka ujumbe huu utafika kwa kila mwananchi na kila mwanarukwa,” Alisisitiza.

Mh. Wangabo alitoa ujumbe huo tarehe 14.5.2021 ambapo Waislamu kote nchini walikuwa wameuanza mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani kwa kipindi cha siku 30 ama 29 kutemea mwandamo wa mwezi.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa