• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Waliokuwa viongozi wa Chama Kikuu cha Usirika Rukwa Matatani tena.

imewekwa Tar: June 13th, 2020

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Rukwa Hamza Mwenda amekabidhiwa ripoti ya Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) nchini na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ili kuyashughulikia yaliyomo ndani ya ripoti hiyo na kuwakama wote waliohusika na ubadhirifu wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani humo.

Mh. Wangabo amesema kuwa ripoti hiyo imetokana na uchunguzi uliofanya na COASCO mapema mwaka huu ili kubaini ubadhirifu uliofanywa na uongozi wa chama hicho cha Ufipa Co-operative Union (UCU) baada ya viongozi hao kuingia mkataba na kampuni ya pembejeo ya Eli Agrovent Co, ili kununua mbolea jambo katika mchakato wa manunuzi ya mbolea hiyo kiasi cha Shilingi milioni 277 zilipotea.

“COASCO walifanya ukaguzi wa kina kuanzia mwezi Machi na wakatoa taarifa ndani ya Mwezi huo huo mwaka huu 2020, na kubaini kwamba kuna mapungufu mengi yakiwemo ubadhirifu wa hawa viongozi waliokaa ndani ya miezi sita tu, hawa viongozi wa chama cha ushirika cha Ufipa (UCU), TAKUKURU nakukabidhi ripoti hii ya COASCO Mkaishughulikie kwa kina, na wale wote waliohusika kufanya ubadhirifu wakamatwe, warejeshe, fedha zirudishwe, nakukabidhi ripoti.”

“Hawa wote walioko hapa wameteswa na viongozi wa vyama vya ushirika, na watesaji bado wapo, fedha zimeokolewa kutoka kwa watu ambao hawakufuata sheria ya vyama vya ushirika na kanuni zake, wakawatesa hawa kwahiyo waliowatesa wapo na wenyewe wapate mateso yanayostahiki,” Alisisitiza.

Na kuongeza kuwa wanachama wengi wamekuwa wakisita kujiunga na vyama hivi kutokana na ubadhirifu unaofanywa na viongozi hao na hivyo kuogopa kujiunga na hivyo kumuagiza Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoani humo pamoja na maafisa ushirika katika halmahsuri za mkoa huo kuhakikisha wanawapekuwa viongozi wote wabovu na kuwaondoa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI 2025 January 10, 2026
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE 2025 January 10, 2026
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa