• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Wanakamati wa Afya kutunukiwa cheti cha Uzalendo Kijiji cha Kirando

imewekwa Tar: March 26th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kuhakikisha anawapatia wanakamati ya upanuzi wa ujenzi wa kituo cha afya Kirando cheti cha uzalendo pamoja na kifuta jasho baada ya wanakamati hao kuonesha uvumilivu na kushirikiana na serikali katika upanuzi wa kituo hicho bila ya kudai posho ya aina yeyote.

Amesema kuwa pamoja na wanakamati wengine kukimbia kutokana na kukosa malipo ya aina yeyote wakati wakiendelea na usimamizi wa upanuzi wa kituo hicho cha Afya wao waliendelea kusimama imara ili kuhakikisha wanafanikisha zoezi hilo na hatimae wananchi wa Kijiji, Kata na Tarafa ya Kirando waweze kufaidika na juhudi za serikali ya awamu ya tano katika kuboresha sekta ya afya katika Mkoa wa Rukwa.

“Na mtayarishe Mkurugenzi cheti cha Uvumilivu, na mkono mtupu haurambwi mtayarishe na hata senti Fulani mle ndani iwe posho yao kwasababu hawajapata posho hata sumuni, kwahiyo muangalie mtajibana wapi ili cheti kiambatane na kifuta jasho tutakuwa tumewatendea haki na wengine wataiga,”Alisema.

Wakati akielezea siri ya kusimama imara Mwenyekiti wa kamati kituo cha afya Kirando ambae alikuwa mjumbe katika kamati ya ujenzi kwaajili ya upanuzi wa kituo hicho Seetbert Kapalata alisema kuwa anamshukuru mheshimiwa Rais kwa kuwafikiria watu wa Kijiji cha kirando na kuwapelekea mradi huo.

“Kweli tunamsukuru mheshimiwa Rais kwani ni jambo la kipekee sana ilikuwa sio rahisi kufikiria kwamba tunaweza kuapata kitu kama hiki miaka imepita mingi lakini hatujapata jambo kama hili kwahiyo ilikuwa ni lazi sisi tuunge mkono jitihada hizo, inawezekana akaja mwingine asifikieriea vituo vya afya akafikiria mambo mengine lakini bila ya afya hakuna kingine katika maisha,” Alisema.

Kwa upande wake Mganga mfawidhi wa Kituo hicho ambae nae alikuwa katibu wa Kamati Dkt. Hashim Mvogogo wakati akitoa taarifa ya Kituo hicho cha afya alisema kuwa upanuzi huo umesaidia kuboresha huduma za upasuaji na maabara, jengo la wodi ya wajawazito pamoja na nyumba ya daktarin.

“Wodi ya akinamama imeboreshwa na hadi sasa jengo hilo lina uwezo wa kulaza kina mama 25 kwa wakati mmoja, vilevile chumba cha kujifungulia kina uwezo wa kubeba wajawazito wanne kwa wakati mmoja, hivyo tunaishukuru serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Wetu Dkt. John Pombe Magufuli kwa namna alivyoweza kutuboreshea huduma katika kituo chetu,” Alimaliza.

Ujenzi wa Upanuzi wa Kituo cha Afya cha Kirando ulianza mwezi Februari mwaka 2018 na kumalizika mwezo Oktoba mwaka 2018 na kugharimu shilingi milioni 412 kwaajili ya ujenzi wa jengo la maabara, wodi ya wajawazito, jengo la upasuaji na nyumba ya daktari.

 

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa