• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Wananchi waishukuru Serikali baada ya kusambaziwa maji vijijini

imewekwa Tar: September 16th, 2020

Wananchi wa vijiji vya Ng’ongo na Mtowisa katika Kata ya Mtowisa, Wilayani Sumbawanga, Mkoani Rukwa wameishukuru serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli baada ya mradi wa maji wa lipa kulingana na matokeo (P4R) katika vijiji vinne vya Kata ya Mtowisa utakaohudumia wakazi zaid ya 11,000.

Wanachi hao wamesema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakipata shida ya kutembea umbali mrefu kutafuta maji hali ambayo imekuwa ikiwazuia kufanya shughuli nyingine za kimaendeleo na hivyo ukamilifu wa mradi huo ambao umegharimu Zaidi ya shilingi milioni 464 utakuwa mkombozi kwa wananchi wa kata hiyo.

Abedi Saidi ni Mkazi wa Kijiji cha mtowisa aliyekuwa akitembea kwa masaa kadhaa kutafuta maji alisema, “Ni mbali kutoka Mtowisa hadi hapa Ng’ongo kuna kaumbali kidogo kwa miguu ni masaa mawili, mradi huu ukikamilika wananchi watafurahi sana, kwasababu mradi waliokuwa anatumia ni wa zamani halafu umechakaa yani watu wanahangaika sana, yaani huu mradi tumeufurahia na tutautunza sana.”

Aidha, Mwanakijiji Christian Kapele aliorodhesha faida zitakazopatikana baada ya mradi huo kuisha ikiwemo kupata maji ya uhakika katika hospitali mpya ya Wilaya Sumbawanga iliyopo katika kata ya Mtowisa Pamoja na kufikisha maji katika vijiji vinne ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa vikihangaika kutafuta maji.

“Tunamwombea Muheshimiwa Magufuli, Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanakijiji wa Ng’ongo tunaahidi kwamba tutafanya chini na juu apite nafasi kwa kura zote ili aweze kutuendeleza kwenye hii miradi yet una tunashukuru sana huyu mzee wetu ametusaidia maji katika kata yetu, na umeme na hivyo tunamuombea aweze kushinda katika uchaguzi huu,” Alisema.

Wakati alipomaliza kutemebelea mradi huo wa P4R Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewasisitiza wananchi kuendelea kutunza vyanzo vya maji kwani ndio uti wa mgongo wa maendeleo ya wananchi kwakuwa maji hayo hayatumiki tu majumbani lakini pia yanatumika katika mradi wa skimu ya umwagiliaji katika kata hiyo ya Mtowisa.

“Niwaombe wanakijiji wa vijiji hivi vinne watunze mradi huu, watunze mazingira, msifugie na kulisha katika vyanzo hivi, lakini pia huko juu kwenye vijiji vilivyopo kweny ukanda wa Sumbawanga watunze vyanzo vya maji wasichome misitu hovyo, wasifyeke misitu wala wasifuge katika maeneo ya vyanzo vya maji, vinginevyo watu wanaoishi katika bonde hili la ziwa Rukwa watapata athari kubwa ya kutopata maji safi na salama lakini pia ziwa Rukwa litakuwa katika hatari ya kutoweka, tutunze vyanzo ili maji yatutunze,” Alimalizia.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI BINGWA 33 WAPOKELEWA RUKWA, HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA HOSPITALI ZA WILAYA KWA SIKU TANO

    May 19, 2025
  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa