• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

wananchi zaidi ya asilimia 47 wajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura Rukwa

imewekwa Tar: October 13th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh.Joachim Wangabo amewagiza wakuu wa wilaya pamoja na viongozi wote wa Halmashauri kusimamia kwa ukaribu zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura na kuahakikisha kila mwananchi anashiriki na kujiorozesha kwenye daftari hilo.

Akiwa katika ziara ya ukaguzi wa vituo vya kuandikisha wapiga kura wilayani Kalambo ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika 24 Novemba 2019, Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesema mpaka sasa wananchi 259,783.

“Mpaka sasa waliojiandikisha kupiga kura kwa mkoa wa Rukwa ni 259,783 kati ya waandikishwaji ambao tunawakadiria kufikia 568,162 Wilaya ya Kalambo mpaka sasa wamejiandikisha kwa asilimia 36 na Nkasi asilimia 35, Manispaa ya Sumbawanga ni asilimia 37 na halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga wanaongoza wakiwa na asilimia 70, na hii inafanya kwa mkoa kuwa na asilimia 47.5 mpaka sasa,”

Aidha amewataka wakuu wawilaya kusimamia kwa ukaribu zoezi hilo ili liweze kwenda vizuri.

Mkuu wa wilaya ya Kalambo Mh.Julieth Binyura, amesema mawakala wa vyama vya siasa wanalojukumu la kuwasaidia waandikishaji kuwatambua wageni ili wasijiandikishe kwenye daftali la wapiga kura kwani hawana haki hiyo kisheria.

“Nawaasa wananchi wote tuweze kujitokeza tujiandikishe ili tuweze kupiga kura, kura itakayopigwa tarehe 24 mwezi wa 11, 2019 wananchi wote tuweze kupiga kura na tuwachague viongozi ambao wanafaa kabisa, katika kutatua matatizo yetu katika kuendeleza nchi yetu na wilaya yetu ya Kalambo kwa ujumla na watumishi wetu wa serikali pia wajiandikishe kwaajili ya kupiga kura tuchague viongozi wetu wa vijiji na vitongoji,”Alisema.

Waziri wa Ofisi uya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Mh. Suleiman Jafo ameongeza siku tatu kwa wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura ili kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa mwezi Novemba, 24, 2019, zoezi ambalo lilitegemewa kumalizika tarehe 14 na hivyo sasa zoezi hilo linategemewa kumalizika tarehe 17, 10, 2019.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa