• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Wanarukwa wahimizwa kujitokeza kwa wingi kuishangilia Tanzania Prison dhidi ya Simba SC

imewekwa Tar: October 20th, 2020

Wananchi mkoani Rukwa wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu yao ya Tanzania Proison inayotarajia kupambana na mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Vodacom nchini Simba SC katika nyasi za Nelson Mandela Oktoba 22, 2020.

Hamasa hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo alipotembelea uwanja wa Nelson Mandela ili kujionea maandalizi ya uwanja huo kabla ya kupulizwa kipenga siku ya Alhamisi na kusema kuwa hakika ameridhishwa na maandalizi ya ndani ya uwanja nan je ya uwanja.

Mh. Wangabo alisema kuwa mashabiki siku zote wamekuwa ni mchezaji wa kumi na mbili ndani ya Uwanja na anategemewa kuongeza nguvu ya ushindi kwa kushangilia kwa nguvu zote katika dakika 90 za mchezo na kuongeza kuwa asingependa kuwaona wanarukwa wanaisahau timu yao ambayo imesababisha kuja kwa timu hizo nyingine zote na kushabikia timu ambazo ni wapita njia.

“Nisingependa kuona wanarukwa wanashabikia kwa wingi timu ya Simba, kwasababu timu ya simba ikishinda na nyingine ikaja ikashinda, na nyingine ikaja ikatushinda pia, timu hii itashuka daraja, itakaposhuka daraja hizi timu za Simba, Yanga, Azam na timu nyingine, hazitaonekana tena hapa kwahiyo tutakuwa hatujaitendea haki timu ya Prison, kwahiyo sisi tuishangilie timu yetu kwani hii ndiyo iliyotufanya Simba ije, Azam ikaja na Yanga itakuja na timu nyingine zitakuja,”

Aidha alisema kuwa anaiombea timu ya Tanzania Prison ushindi mbali na kutambua kuwa mpira una matokeo matatu, ya kushinda, kufungwa na sare na kusisitiza kwa washabiki wote wa mikoa ya jirani kujitokeza kwa wingi na kuwathibitishia kuimarika kwa usalama Pamoja na upatikanaji wa huduma zote muhimu kwa washabiki wataofika mjini Sumbawanga kutoka mikoa mimngine.

Kwa upnde wao mashabiki wa pande zote mbili wamejitokeza na kudai kila mmoja kuibuka na ushindi katika mechi hiyo inayosubiriwa kwa hamu na wapenzi na wadau wa soka mjini Sumbawanga.

Mmoja wa mashabiki wa Tanzani Prison Patrick linus aliwatahadharisha wanasimba kuacha tabia ya kutembea na matokeo mifukoni na matokeo yake na wasifananishe Sumbawanga na maeneo mengi ambapo wameshakwenda na kuibuka na ushindi.

“’Game’ itakapochezwa Alhamisi, watachezea goli mbili lakini kwasababu ni watu wazima tutawapa nafasi ya kagoli kamoja tu, mi niwaombe tu wanarukwa, wakazi wa manispaa (ya Sumbawanga) tujitokeze kwa wingi, tuwape ‘Support’ Prison nao wafurahi, kamawalihama kutoka huko na kuja huku basi nasi tusiwaangushe,” Alisisitiza.

Naye Daudi Mbwala mshabiki wa timu ya Simba SC alisema kuwa Pamoja na kuikaribisha timu ya Simba na kuitakia ushindi lakini bado wanaiheshimu timu ya Tanzania Prison kwa kuweka makazi yake mjini Sumbawanga.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa