• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu Waonywa

imewekwa Tar: October 18th, 2020

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeonya kuwa msimamizi yeyote atakayesababisha Mahakama itengue matokeo ya uchaguzi, atatakiwa kufidia hasara na gharama za kurudia uchaguzi.

Kamishina wa NEC, Balozi Omari Ramadhani Mapuri pia alisema tume haitasita kumchukulia hatua msimamizi wa uchaguzi, atakayefanya kwa makusudi vitendo vitakavyosababisha uchaguzi kuharibika katika jimbo au kata.

Mapuri alitoa onyo hilo mjini Sumbawanga katika kikao cha NEC na waratibu na wasimamizi wa uchaguzi katika mikoa ya Rukwa, Songwe na Katavi.

Alisema, msimamizi wa uchaguzi ataadhibiwa kwa kuzingatia Kifungu cha 89A cha Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Sura ya 292.

"Kwa kuzingatia Sheria hiyo ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, tume haitasita kumchukulia hatua msimamizi wa uchaguzi atakayefanya kwa makusudi vitu vitakavyosababisha uchaguzi kuharibika katika jimbo au kata,” alisema Mapuri na kuongeza.

Msimamizi huyo wa uchaguzi atatakiwa kufidia hasara hiyo kwa mujibu wa Kifungu cha 89 B cha Sheria za Uchaguzi ya Serikali za Mitaa Sura ya 292 alisema.

Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Amos Akim aliwakumbusha wasimamizi wa uchaguzi kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa ifikapo Oktoba 21.

“Oktoba 28 mwaka huu ndio siku ya kupiga kura...vituo vinatakiwa kufunguliwa saa moja asubuhi kama inavyoelezwa na tume...watendaji wa vituo waelezwe kuwahi vituoni mapema ili wafanye maandalizi. Baada ya wapigakura kupiga kura zao wanatakiwa kuondoka vituoni,”alisema Akim.

Alisema baada ya kukamilika kwa uboreshaji daftari la kudumu la wapigakura kwa awamu zote mbili, kama ilivyo matakwa ya kisheria, kwa sasa lina wapigakura 29,188,347. Alieleza kuwa kwa nchi nzima kutakuwa na vituo 81,567 vya wapigakura.



Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI BINGWA 33 WAPOKELEWA RUKWA, HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA HOSPITALI ZA WILAYA KWA SIKU TANO

    May 19, 2025
  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa