• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

WAWEKEZAJI KUTOKA ZAMBIA WAVUTIWA NA BANDARI MKOANI RUKWA

imewekwa Tar: May 28th, 2023


Mkuu wa Jimbo la Kaskazini  mwa Zambia  Mhe. Bernard Mpundu ameambatana na viongozi wengine kutoka nchini Zambia katika kushiriki  Kongamano la Uwekezaji Mkoni Rukwa.

Awali Mhe. Mpundu alitembelea katika mabanda ya maonesho ya bidhaa katika viwanja vya Nelson Mandela na baadae katika Bandari ya Kabwe na Kipili kuweza kujionea miundombinu ya bandari hizo.

Baada ya kutembelea na kujionea bandari hizo ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uwekezaji mkubwa wa bandari zenye kiwango cha Kimataifa Mkoani Rukwa tofauti na nchini Zambia.

Aidha ameipongeza Serikali kwa kutumia wakandarasi  wazawa  katika ujenzi wa bandari hizo na kuwa ujenzi huo unasaidia kuokoa fedha nyingi za Serikali katika kukamilisha miradi mikubwa kama bandari.

Mhe. Mpundu ametoa wito kwa makampuni mbalimbali kutoka Zambia kuja kuwekeza kwenye bandari hizo kwa kujenga meli au boti kubwa za kusafirisha mizigo na abiria kutokana na mahitaji makubwa ya wananchi kutumia vyombo vya maji kwa wingi katika maeneo ya  Kabwe na Kipili.

Kongamano la uwekezaji Mkoani Rukwa limewakutanisha wafanyabiashara kutoka Sehemu mbalimbali zikiwemo ndani na nje ya nchi  lengo likiwa ni kutazama na kutangaza fursa za uwekezaji Mkoani Rukwa. Kongamano hilo lililoanza mnamo Mei 25 2023 linatarajiwa kuhitimishwa  Mei  30 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI- RUKWA September 27, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • HOTUBA YA BAJETI YA TAMISEMI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 May 05, 2023
  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MIRADI YA BILIONI 56.7 YAKAGULIWA KALAMBO

    September 25, 2023
  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WAAGIZWA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA CHANJO POLIO

    September 15, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa