• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Waziri Kigwangala atoa siku 90 kwa TAWIRI kufanya sensa ya Mamba Ziwa Rukwa

imewekwa Tar: July 3rd, 2018

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla ametoamiezi mitatu kwa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), kufanyautafiti na sensa ya mamba katika Ziwa Rukwa ili kubaini idadi yake na hatimayekuishauri Serikali namna ya kudhibiti madhara yanayosababishwa na mamba hao kwawananchi hususani wa jimbo la Songwe ikiwemo kuwavuna kama idadi yao itabainikakuwa kubwa.

Dk. Kigwangalla, ametoa agizo hilo jana katika kijiji chaMaleza kata ya Mbangala wilaya ya Songwe mkoani Songwe, alipokuwa akizungumzakwenye mkutano wa hadhara wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani humo kwaajili ya kutatua mgogoro uliopo baina ya wananchi na Mamba wa Ziwa Rukwa.

“Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori ambayo ipo chini yaWizara yangu, nawaagiza wafike hapa mara moja na ndani ya miezi mitatu, wanipemajibu nini kifanyike kupunguza madhara yanayotokana na mamba kwenye ZiwaRukwa, wafanye sensa watuambie kuna Mamba wangapi lakini pia watushauri ninitufanye ili kudhibiti mamba hao wasiendelee kusababiaha athari kubwa kwenyemaisha ya watu wanaoishi jirani lakini pia wanaoutumia Ziwa.

“Kwa sababu madhara yanaweza yakawa mengi, inawezekana mambawameshakuwa wengi na samaki wamebaki wachache, kwahivyo hata Mamba nao mwishowewataanza kufa ama wataanza kutafuta chanzo kingine cha chakula pengine ndiomaana wameanza kutafuta binadamu anayekwenda Ziwani kwasababu  sasa wanakuwa na njaa, inabidi wasogeeufukweni wawinde chochote kinachosogea karibu na maji” alifafanua Dk.Kigwangalla. 

Dk. Kigwangalla ametoa agizo hilo kufuatia malalamikombalimbali yaliyowasilishwa kwake na mbunge wa Jimbo la Songwe, Philipo Mulugoambaye amesema kumekuwepo na matukio mengi ya Mamba kushambulia na kuuwawananchi wa vijiji jirani wanaofata huduma mwambao wa Ziwa Rukwa.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA RUKWA ATOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 27, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI RUKWA LAPOKEA MAGARI MATATU YA KISASA KUIMARISHA SHUGHULI ZA UOKOAJI

    October 27, 2025
  • SERIKALI YATOA PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA HALMASHAURI RUKWA

    October 24, 2025
  • MBIO ZA MWENGE ZAENDELEA KALAMBO RUKWA, MIRADI YA MAENDELEO YAENDELEA KUMULIKWa

    September 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa