• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Waziri Mbarawa asikitishwa na utendaji wa wahandisi wa maji kwenye halmashauri

imewekwa Tar: September 20th, 2018

Waziri wa maji na Umwagiliaji mh. Makame Mbarawa amesikitishwa na kitendo cha wahandisi wengi waliyopewa dhamana ya kusimamia miradi kushindwa kufanya hivyo na matokeo yake kuendelea kuisababishia serikali hasara na wananchi kukosa huduma wanayostahili.

“Wahandisi wetu wa Halmashauri hawafanyi kazi zao ipasavyo, mkandarasi anakuja tunakubaliana vizuri lakini wakati wa kuleta vifaa, pengine ameambiwa kuleta bomba la P10 ama P15 analeta bomba la P7 ama P8 anashindwa kuleta vifaa vyenye viwango vinavyotakiwa, kwakuwa mabomba yanazikwa chini hakuna anayeona matokeo yake ukipampu maji maji hayatoki, sababu mabomba yamepasuka yanaishia ardhini,” Alisema

Ameyasema hayo baada ya kupokea taarifa ya sekta ya maji ya mkoa iliyosomwa na mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo mara tu baada ya kuwasili katika Mkoa.

Katika taarifa yake hiyo Mh. Wangabo amesema kuwa mkoa una jumla ya miradi 19 yenye thamani ya shilingi bilioni 19.5 ambayo itatekelezwa kwenye vijiji 38 kupitia programu ya Maji na Usafi wa Mazingira ambapo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 shilingi bilioni 4.2 zilikuwa zimetengwa kwa ajili ya kulipia gharama za wakandarasi, wataalamu washauri, uhamasishaji wa usafi na mazingira, usimamizi na ufuatiliaji, na hadi kufikia juni 2018 shilingi bilioni 3.9 zilikuwa zimepokelewa.

https://www.youtube.com/watch?v=etaVILiekpA&feature=youtu.be

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa