• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Waziri Ndalichako aagiza chuo cha VETA Nkasi kutoa mafunzo ya muda mfupi

imewekwa Tar: August 15th, 2018

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako ameigiza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA Kanda ya Kusini Magharibi kuhakikisha Chuo Cha Wilaya ya Nkasi cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi kinaanza kutoa mafunzo ya muda mfupi kuanzia mwezi Septemba mwaka huu.

Waziri Ndalichako ametoa agizo hilo akiwa ziarani mkoani Rukwa kwa ajili ya kukagua miradi ya Elimu inayotekelezwa na wizara hiyo katika mkoa wa Rukwa ambapo amesema majengo yaliyopo yanaweza kuendelea kutumika kutoa mafunzo ya muda mfupi huku serikali ikiendelea na utaratibu wa kufanya ukarabati katika majengo hayo.

Waziri Ndalichako amesema majengo hayo ni imara pamoja na kwamba hayajatumika kwa zaidi ya miaka mitatu lakini miundombinu ya majengo hayo bado ipo vizuri na inahitaji tu kupakwa rangi na kurekebisha masuala ya umeme .

“Ukiangali unaona raslimali ya serikali inapotea kuna majengo ambayo yangeweza kutumika kutoa mafunzo kwa vijana wa Nkasi ili kuwapatia ujuzi lakini hayatumiki, bado nasisitiza mtumie majengo haya kwa kuanzia yatumike kwa kutoa kozi za muda mfupi,”alisisitiza Waziri Ndalichako

Waziri Ndalichako amesema dhamira ya serikali ni kufikia vijana wengi katika kuwapatia ujuzi na maarifa na vijana wa Nkasi ni sehemu ya vijana hao wanahitaji kuwezeshwa kupata ujuzi na maarifa ili kuziona fursa nyingi za kimaendeleo.

Akiwa mkoani Rukwa Waziri Ndalichako pia ametembelea shule ya Sekondari ya Nkasi kwa lengo la kukagua maendeleo ya ukarabati wa miundombinu ya shule hiyo unaofanywa na wadau wa Elimu ambapo katika kuunga mkono juhudi hizo ametoa mifuko 100 ya simenti itakayosaidia katika ujenzi wa miundombinu hiyo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Said Mtanda amesema serikali ya wilaya ipo tayari kushirikiana na VETA katika kuhakikisha Chuo hicho kinaanza mapema.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI BINGWA 33 WAPOKELEWA RUKWA, HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA HOSPITALI ZA WILAYA KWA SIKU TANO

    May 19, 2025
  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa