• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

WAZIRI PINDI CHANA AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO KALAMBO, RUKWA

imewekwa Tar: October 1st, 2024



Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Hazara Chana (Mb) amefanya uzinduzi wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya jumla ya shilingi bilioni 1.8 katika Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa leo Oktoba 1, 2024.

Akiwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tatu Mkoani hapa, Mheshimiwa Chana amezindua mradi wa Maji wa Kilewani wenye thamani ya shilingi milioni 597.6. Mradi wa maji wa Kilewani ni miongoni mwa miradi ya maji iliyojengwa kwa fedha za Mfuko wa Taifa wa Maji (National Water Fund) na unahudumia wakazi wapatao 3, 847. Mradi huo umefikia asilimia 98 ya utekelezaji wake.

Miradi mingine iliyozinduliwa na Mheshimiwa Waziri Chana ni pamoja na mradi wa ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Josephat Kandenge iliyoko Kata ya Mpombwe, mradi uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 583.1 hadi kukamilika kwake.

Katika ziara hiyo Mheshimiwa Chana amezindua pia mradi wa ujenzi wa Shule mpya ya Msingi ya Namlangwa iliyoko Kata ya Lyowa wenye thamani ya shilingi milioni 638.


Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Kalambo, Mheshimiwa Waziri Chana amesema Serikali imedhamiria kutatua changamoto ya umbali wa upatikanaji wa huduma kwa kuhakikisha inasogeza huduma za maji, elimu na afya karibu zaidi na wananchi.

Mheshimiwa Pindi Chana amewataka wananchi kutunza miradi inayojengwa na Serikali ili azma ya huduma kusogezwa karibu na wananchi itimie. Ameeleza kuwa upatikanaji wa maji, elimu na afya karibu na makazi ya wananchi utaongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali za ujasiriamali na kuongeza kipato cha wananchi.


Wananchi Wilayani Kalambo wameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa fedha za utekelezaji wa miradi hiyo.


Mheshimiwa Chana yuko ziarani Mkoani Rukwa, ziara itakayochukua siku 3.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa