• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Ziwa Tanganyika kupata Meli mpya

imewekwa Tar: February 20th, 2018

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,Mhandisi Atashasta Nditiye ametoa habari nzuri kwa wana Rukwa na mikoa yote iliyopo pembezoni mwa ziwa Tanganyika juu ya ujio wa meli mpya ambayo itaanza kutengenezwa baada ya kusainiwa kwa mkataba mwezi wa tatu mwaka huu.

Amesema kuwa mwambao huo umekuwa ukitegemea meli moja tu ya MV Liemba mbayo ina miaka zaidi ya 100 ikitoa huduma katika ziwa hilo na kukiri kuwa ikipatikana meli hiyo ya pili changamoto ya usafiri kwa abiria na mizigo itapungua.

“Mkataba Utasainiwa mwezi wa tatu ili meli hiyo iweze kuhudumia watanzania walioko mwambao wa ziwa Tanzanganyika sasa tunatumia meli moja tu ya MV Liemba, kwakweli kabisa ni meli ya siku nyingi in miaka zaidi ya 100 ikiwa inafanya kazi katika ziwa Tanganyika, kwahiyo tukiipata hiyo nyingine zikawa mbili, ninahakika kabisa changamoto za usafiri wa abiria na mizigo utakuwa umepungua,” Alimalizia.

Ameyasema hayo alipoongea na waandishi wa habari alipotembelea bandari ya Kasanga ili kujionea mandeleo na changamoto za bandari hiyo ambayo ndani ya miaka mitatu imeiingizia Tanzania shilingi Bilioni 2.2 huku ikisafirisha mizigo na abiria ndani na nje ya nchi kama vile DR Congo na Burundi.

Kwa upande wake afisa wa bandari hiyo Suleiman Kalugendo ameiomba serikali kujitahidi kufanya upanuzi wa gati ya bandari hiyo yenye urefu wa mita 20 na badala yake ifikie walau mita 120 ili kuweza kuhudumia meli za mizigo na abiria kwa wakati mmoja kwani meli ya MV liemba peke yake ina urefu wa mita 70 hivyo hupata changamoto pindi meli mbili zinapotaka kutia nanga.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa