imewekwa Tar: May 15th, 2023
Jamii imeaswa kuimarisha upendo na maadili ili kupata familia imara. Uimara wa familia utajenga jamii imara na kupunguza ukatili wa kijinsia, utoro mashuleni, lishe duni na mimba za utotoni.
...
imewekwa Tar: May 13th, 2023
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Cuthbert Sendiga amewaasa waandishi wa Habari Mkoani Rukwa kufanya kazi zao kwa kuzingatia misingi na maadili ya uandishi wa habari.
Ameyasema...
imewekwa Tar: May 11th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mh. Queen Cuthbert Sendiga amekabidhi misaada ya kiutu kwa kwa wahanga wa mafuriko yaliyotokea mapema mwezi Aprili 2023 katika Kata ya Mfinga Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga...