• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Utalii

SEKTA YA UTALII.

Mkoa kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii umeendelea kutambua maeneo yenye fursa za kitalii na kuyaboresha ili yaweze kuvutia watalii wengi katika Mkoa wetu. Mkoa wa Rukwa unavivutio vya watalii vifuatavyo:- 

  • Old Bismark Fort-Kasanga
  • Chemichemi ya maji moto- Kizombwe katika Halmsahuri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Mwonekano wa Ufipa escarpment
  • Fukwe za Ziwa Tanganyika na maeneo ya wazamiaji/diving site –Kalambo na Nkasi
  • Mbega wekundu katika Msitu wa Mbizi
  • Wanyama katika Mapori ya Akiba ya Uwanda na Lwafi
  • Mabwawa ya asili ya Kwela na Sundu
  • Maporomoko ya Tembwa-Nkasi
  • Maporomoko ya Mto Kalambo(Kalambo Falls)

Maporomoko ya Mto Kalambo(Kalambo Falls)

 

Katika msitu wa Hifadhi wa Moporomoko ya Kalambo, Yapo Maporomoko makubwa ambayo ndio yanaleta jina la msitu huo na ni maarufu sana duniani.

Katika kipindi cha mwaka 2017/2018  tumeendelea kuboresha kivutio cha maporomoko ya mto Kalambo kwa kufanya maboresho yafutayo:

Kuimarisha Mpaka wa Hifadhi kwa kufyeka Kilomita 30 za mpaka na kuweka vigingi 83 kuzunguka hifadhi.

Kuratibu uanzishwaji na kuendeleza utalii Ikolojia katika eneo la maporomoko ya Kalambo.

Kutangaza maporomoko ya Kalambo katika mitandao ya Kijamii na kuongeza umaarufu wa hifadhi.

Kuandaa mchoro wa kujenga kituo cha Utalii ambacho kinajumuisha geti, Ofisi ya Meneja, Kituo cha habari kwa Watalii, Ukumbi, Kituo cha Utamaduni pamoja na Huduma za Jamii na maeneo ya uwekezaji.

Kupanga eneo la kujenga vyumba vya kulala Wageni, maduka, migahawa na zahanati

Kuweka mabango ya kutambulisha maporomoko (katika Kijiji cha Kapozwa)

 Kujenga ngazi za kuteremka kwenye maporomoko zenye urefu wa mita 227 kwenye ukingo wa korongo la Mto Kalambo ambapo kazi hii inaendelea.


Maporomoko ya Kalambo

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo 

Ngazi zitakazokupeleka maji yanapodondokea.

Ngazi zitakazokupeleka maji yanapodondokea.

Matangazo

  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • JAMII ISHIRIKIANE NA WALIMU KUKUZA TAALUMA

    February 16, 2023
  • Kampeni Upandaji Miti

    February 07, 2023
  • TASAF

    February 05, 2023
  • RAS Mchatta akagua miradi

    January 26, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa