Ntembwa Falls - Nkasi, Rukwa.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu ametoa elimu ya kina juu ya uzambazwaji wa ugonjwa hatari wa kipindupindu ulioua na kuathiri zaidi ya watu 500 ndani ya kipindi cha miezi sita. Ameyasema hayo katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika kambi ya Nankanga Bonde la Ziwa Rukwa.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa kuanzisha mchakato wa kinidhamu na uchunguzi mara moja dhidi ya Mkurugenzi wa Halamashauri ya Wialaya ya Kalambo kutokana na utendaji kazi wake usioriddhisha.
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa