• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Videos

  • RC Wangabo aagiza DED kuchunguzwa

    May 14th, 2018

    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa kuanzisha mchakato wa kinidhamu na uchunguzi mara moja dhidi ya Mkurugenzi wa Halamashauri ya Wialaya ya Kalambo kutokana na utendaji kazi wake usioriddhisha.

  • RC Wangabo afafanua utoro na mikakati ya kumaliza utoro Rukwa

    April 12th, 2018

    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh.Joachim Wangabo amefafanua sababu kadhaa zilizosababisha Mkoa wa Rukwa kuongoza kwa utoro katika hotuba ya Waziri Mkuu Mh. Kasim Majaliwa alipokuwa akizindua mbio za  Mwenge wa Uhuru Mkoani Geita mapema mwezi huu.

    Pia ameeleza mikakati kadhaa ya kukabiliana na utoro huo ikiwemo kusimamia programu ya chakula kwa wanafunzi ili kuwawezesha kuwa na moyo wa kusoma wawapo mashuleni.

  • RC Wangabo afanikisha Ekari 3 za kujenga nyumba za polisi Mtowisa

    April 9th, 2018

    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amefanikisha kupatikana kwa ekari 3 ili kujengwa kwa nyumba za askari polisi katika eneo la karibu na kituo cha polisi kipya kinachomaliziwa kujengwa katika kata ya Mtowisa, Wilayani Sumbawanga na kurahisisha makazi ya polisi katika bonde la ziwa Rukwa.

     Hayo yamejiri ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya wananchi wa kata ya Mtowisa kwa Mkuu wa Mkoa waliyoiahidi tarehe 13.11.2017 Mh. Wanagabo alipofanya ziara katika eneo hilo na kudai kuwa usalama wa bonde hilo sio mzuri kwa kukosa kituo bora cha polisi na makazi yao na kupelekea kuanzisha ujenzi wa kituo na hatimae kuomba nguvu ya Mkuu wa Mkoa kuweza kumalizia ujenzi huo.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI RUKWA VYANUFAIKA NA MKOPO WA BILIONI 2.1

    June 05, 2024
  • RAIS AJENGA SHULE YA SUMBAWANGA SEKONDARI

    June 02, 2024
  • MHESHIMIWA CHIRUKILE ATAKA UCHANGIAJI WA GHARAMA ZA MAJI ILI MIRADI IWE ENDELEVU

    June 02, 2024
  • KUIMARISHWA KWA MIUNDOMBINU YA AFYA; VIFO VYA AKINA MAMA VITOKANAVYO NA UZAZI, VIFO VYA WATOTO WACHANGA VYAPUNGUA RUKWA

    June 02, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa