• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Videos

  • Serikali yatoa misaada kwa Nyumba 336 zilizoathiriwa na Mvua kali Rukwa

    December 17th, 2018

    Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule ambaye pia alikuwa kaimu Mkuu wa Mkoa wa Rukwa alikwenda kuzitembelea kaya 336 zilizoathiriwa na mvua na upepo mkali uliotokea usiku wa tarehe 8.12.2018 na kuahidi kutoa kilo 5 za unga wa sembe kwa kila kaya kama kianzio huku misaaada mingine ikiendelea kusubiriwa

  • Manispaa ya Sumbawanga yaibuka mshindi wa kitaifa mbio za mwenge wa uhuru

    October 15th, 2018

    Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeibuka mshindi wa kitaifa wa mbio za za Mwenge wa Uhuru uliowashwa mwezi April katika viwanja vya magogo Mkoani Geita na na kuzimwa mwezi oktoba siku ya kumbukumbu ya kifo cha Mwl. Julius Nyerere katika Kiwanja Mkwakwani Mkoani Tanga na kukimbizwa katika Halmashauri 195 nchini.

  • Mifugo yatajwa kuwa ni changamoto ya maendeleo ya barabara Mkoani Rukwa.

    October 10th, 2018

    “Watanzania wanalipa kodi zao, fedha ni nyingi sana, tunazipeleka kwenye miundombinu na kule ambako hakuna tunasikia hapa, kwamba jamani tunahitaji barabara Fulani TARURA barabara Fulani TANROAD lakini udhibiti wa barabara unakuwa sifuri, hiuli jambo nisingependa liendelee na iwe agenda tupate taarifa na tuambiwe namna walivyodhibiti, sio kusema tu kwamba tutafanyia kazi, tusikie wapi barabara imeharibiwa na halmashauri imedhibiti namna gani,”Alisistiza. 

    Katika mwaka wa fedha 2018/2019 shilingi bilioni 13.8 zimeidhinishwa kwaajili ya matengenezo ya barabara na madaraja na bilioni 2.7 kwaaajili ya miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Rukwa. 

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • Next →

Matangazo

  • Tahadhari juu ya Ugonjwa wa Corona kwa Mkoa wa Rukwa April 20, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wadau wa Elimu

    January 15, 2023
  • Ruwasa

    January 03, 2023
  • Waziri Mkuu Aanza Ziara Rukwa

    December 14, 2022
  • Waziri Mkuu Kufanya Ziara Mkoa wa Rukwa

    December 12, 2022
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa