• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Videos

  • RC Mkirikiti akabidhiwa Ofisi Rukwa

    May 30th, 2021

    RC Mkirikiti akabidhiwa Ofisi Rukwa

  • Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa

    January 9th, 2020

    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wanarukwa kutumia sherehe za siku ya kuzaliwa Yesu kristo kutafakari nafasi za watoto katika familia na kuongeza kuwa serikali ya imejipaga kuhakikisha kuwa mwaka 2020 unakuwa ni mwaka maalum wa Mtoto katika mkoa.

    Amesema kuwa kwa muda mrefu wanarukwa wamekuwa wanashindwa kuthamini maendeleo ya mtoto kiafya na kielimu kwani watoto wamekuwa wakienda shule bila ya kula chochote nyumbani na hata akifika shuleni ambapo anakaa zaidi ya masaa kumi hapewi chakula chochote hali inayopelekea watoto hao kushindwa kuzingatia masomo.

    “Tunawatesa watoto wetu kwanini, Muasham Baba Askofu ningependa tutumie nafasi hii za Krismai na Mwaka mpya kutafakari nafasi ya mtoto ndani ya familia na maendeleo ya taifa letu, tuwape haki zao watoto wetu, tuwape chakula, tuache manyanyaso ya kuwatukana na kuwapiga ovyo, kuwachoma moto, kuwabaka, hivfi vitendo vyote vinamchukiza Mwenyezi Mungu, na mahala pengine mabinti zetu wanawaua hawa watoto wanatoa mimba na hata akizaa anamtupa, huu ukatili wa namna hii Mwenyezi mungu haupendi,” Alisema kwa masikitiko.

  • Kisa Kamili cha Mama Mjamzito Kujijeruhi tumboni chafafanuliwa na RMO Rukwa

    June 4th, 2019

    Kuanzia Tarehe 30 Mei, 2019 kuna taarifa zilizosambaa na kutolewa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu mama mjamzito anayesemekana kujijeruhi maeneo ya tumboni na kupelekea kutoa mtoto tumboni, tukio lililotokea kata ya kirando halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu anaelezea kisa kamili

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • Next →

Matangazo

  • MATOKEO YA UPIMAJI KWA KIDATO CHA PILI 2023 January 07, 2024
  • Matokeo ya Darasa La nne 2023 January 07, 2024
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024 December 17, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI October 24, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • INEC YAWATAKA WATENDAJI WA UCHAGUZI KUZINGATIA VIAPO VYAO NA MAADILI YA KAZI

    July 23, 2025
  • INEC YAWATAKA WATENDAJI WA UCHAGUZI KUZINGATIA VIAPO VYAO NA MAADILI YA KAZI

    July 23, 2025
  • RC MAKONGORO AWAPONGEZA WATUMISHI WA MANISPAA YA SUMBAWANGA

    July 22, 2025
  • UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA WAFIKIA ASILIMIA 80; RC MAKONGORO APONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

    July 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa