• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Videos

  • Manispaa ya Sumbawanga yaibuka mshindi wa kitaifa mbio za mwenge wa uhuru

    October 15th, 2018

    Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeibuka mshindi wa kitaifa wa mbio za za Mwenge wa Uhuru uliowashwa mwezi April katika viwanja vya magogo Mkoani Geita na na kuzimwa mwezi oktoba siku ya kumbukumbu ya kifo cha Mwl. Julius Nyerere katika Kiwanja Mkwakwani Mkoani Tanga na kukimbizwa katika Halmashauri 195 nchini.

  • Mifugo yatajwa kuwa ni changamoto ya maendeleo ya barabara Mkoani Rukwa.

    October 10th, 2018

    “Watanzania wanalipa kodi zao, fedha ni nyingi sana, tunazipeleka kwenye miundombinu na kule ambako hakuna tunasikia hapa, kwamba jamani tunahitaji barabara Fulani TARURA barabara Fulani TANROAD lakini udhibiti wa barabara unakuwa sifuri, hiuli jambo nisingependa liendelee na iwe agenda tupate taarifa na tuambiwe namna walivyodhibiti, sio kusema tu kwamba tutafanyia kazi, tusikie wapi barabara imeharibiwa na halmashauri imedhibiti namna gani,”Alisistiza. 

    Katika mwaka wa fedha 2018/2019 shilingi bilioni 13.8 zimeidhinishwa kwaajili ya matengenezo ya barabara na madaraja na bilioni 2.7 kwaaajili ya miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Rukwa. 

  • RC Wangabo akutana na Kaimu balozi wa Marekani nchini

    October 8th, 2018

    Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Inmi Patterson na kujadili vipaumbele vya mkoa wa rukwa na kuona namna ubalozi wa marekani utakavyoweza kuusaidia mkoa katika kufanikisha vipaumbele hivyo hasa katika sekta ya kilimo, Elimu na Lishe.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • Next →

Matangazo

  • Waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Kwanza Mkoa wa Rukwa 2018 January 05, 2018
  • WATAHINIWA WALIOFAULU KWA NAFASI YA SHULE ZA KUTWA MWAKA 2019 MKOA WA RUKWA December 17, 2018
  • Tahadhari juu ya Ugonjwa wa Corona kwa Mkoa wa Rukwa April 20, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WIZARA YA AFYA, PATHFINDER WATOA MAFUNZO ELEKEZI KWA WARATIBU WA M-MAMA RUKWA

    July 11, 2024
  • MAKONGORO AKABIDHI VITABU 34,954 VYA KLINIKI, ATAKA KUZINGATIWA KWA LISHE KWA WATOTO.

    July 09, 2024
  • MILIONI 250 ZAFANYA MAGEUZI MAKUBWA MIUNDOMBINU SEKTA YA AFYA SENGA

    June 30, 2024
  • MANISPAA YA SUMBAWANGA YAPEWA SIKU 14 KUKAMILISHA MAABARA SHULE YA SEKONDARI MAZOEZI

    June 28, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa