• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Huduma za Maji

Hali ya huduma ya maji katika Mkoa wa Rukwa kwa mwaka 2023/2024

Hadi kufikia mwezi June , 2023 asilimia 56.3 ya wakazi wa Mkoa wetu wanapata huduma ya maji safi na salama. Maji haya yanapatikana kutokana na programu mbali mbali ikiwemo NORAD, RUDEP, TASAF, Quickwins na WSDP (Water Sector Development Programu). Programu ya WSDP ndiyo ambayo inaendelea na utekelezaji wa miradi ya maji kwa sasa.

Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji vijijini katika kila Wilaya

Na

Halmashauri

Idadi ya Watu

Idadi ya Watu wanaopata huduma ya maji.

Idadi ya Vituo vya Kuchotea Maji/Wateja

Asilimia ya upatikanaji wa huduma ya Maji

1

Sumbawanga MC (Mjini)

136,414

106,400

8,871

78

2

Sumbawanga MC (Vijijini)

121,016

87,132

307

72

3

Sumbawanga DC

494,330

237,278

717

48

4

Nkasi DC

425,420

216,964

934

51

5

Namanyere

38,143

7,630

246

20

6

Kalambo DC

316,783

161,243

526

50

 JUMLA

 1,134,693 

 634,502 

11,601

56.3

 

Katika kuhakikisha huduma ya maji inaongezeka, Katika Mwaka wa Fedha 2022/2023 Wizara ya Maji ilitenga kiasi cha shilingi 10,616,484,240  kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa miradi ya maji na kampeni ya usafi wa mazingira.

Aidha Hadi kufikia Juni 2023, RUWASA Mkoa wa Rukwa walikuwa wameepokea kiasi cha Shilingi 15,521,029,437.20 kwa ajili ya Utekelezeaji wa Miradi ya Maji na Matumizi ya Kawaida

Mpango wa Kuongeza Upatikanaji wa Huduma ya Maji Vijijini

Mkoa una jumla ya miradi 10 yenye thamani ya shilingi 22,152,959,582.86 ambayo inatekelezwa katika Wilaya za Nkasi miradi 6, Kalambo miradi 2 na Sumbawanga miradi 2 kupitia Programu ya Maji na Usafi wa Mazingira. Ili kuhakikisha miradi ya maji inakuwa endelevu, uundwaji na usajili wa vyombo vya watumia maji umefanyika katika baadhi ya miradi iliyokamilika na uundwaji unaendelea katika baadhi ya miradi iliyokamilika na inayoendelea na ujenzi. Hadi Juni , 2023 Mkoa una jumla ya vyombo vya watumia maji (COWSOs) 41, vinavyohudumia vijiji 325, ambavyo vimesajiliwa kwa mujibu wa sheria Na. 12 ya mwaka 2009.

Wilaya ya Sumbawanga ina vyombo vya watumia maji (CBWSOs) 11 vinavyohudumia vijiji 138, Wilaya ya Kalambo ina vyombo vya watumia maji (CBWSOs) 18 vinavyohudumia vijiji 97 na Wilaya ya Nkasi ina vyombo vya watumia maji (CBWSOs) 12 vinavyohudumia vijiji 90

Mpango wa Kuongeza Upatikanaji wa Huduma ya Maji Mijini

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kupitia Mamlaka ya maji (SUWASA) imetekeleza mradi wa maji ujulikanao kama Mradi wa muda wa kati wa kusambaza maji na usafi wa mazingira. Mradi umetekelezwa kwa fedha za EU na Serikali ya Ujerumani kupitia KfW ambapo umegharimu Euro 14,593,444.68. Ujenzi wa mradi ulianza tarehe 18/03/2013 na umekamilika mwezi Desemba, 2017 na unatoa huduma kwa wananchi. Baada ya mradi kukamilika na kuanza kutumika imepelekea maeneo ya kutoa huduma (Service coverage) kwenye eneo lenye mtandao kuongezeka kutoka asilimia 51% kabla ya mradi hadi 78% kwa sasa

Mji Mdogo wa Namanyere

Katika Mji wa Namanyere mradi uliotekelezwa ni wa upanuzi wa Bwawa la Mfili ambalo ni chanzo kikuu cha maji. Mradi huu umegharimu kiasi cha shilingi 1,011,217,230 kwa mchanganuo ufuatao:-

  • Mkandarasi wa ujenzi shilingi 919,279,300
  • Mtaalamu Mshauri shilingi 91,937,930

Baada ya kukamilika kwa upanuzi wa bwawa la Mfili ujazo wa maji umeongezeka kutoka mita za ujazo 1500 za awali hadi mita za ujazo 248,067.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa