• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

"Uchaguzi umekwisha, kazi sasa ni kudumisha amani" - Rais Magufuli

imewekwa Tar: November 5th, 2020

Rais wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli amesema uchaguzi umekwisha na kazi kubwa iliyo mbele yao ni kudumisha amani, utulivu, kuendelea kuimarisha uhusiano wa kimataifa na kukamilisha miradi ya maendeleo.

Rais Magufuli ameitoa kauli hiyo mjini Dodoma, mara baada ya kula kiapo cha urais cha kulitumikia taifa hilo la Afrika Mashariki kwa kipindi cha miaka mitano kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katika hotuba yake, Rais Magufuli amesema kuwa amani na mshikamano vilivyopo nchini Tanzania vinapaswa kudumishwa na kwamba uchaguzi umekwisha na Watanzania wajikite zaidi katika kuchapa kazi hivi sasa kama ilivyo kauli yake tangu aingie madarakani Novemba 5 mwaka 2015.

Aidha, Rais Magufuli ameongeza kusema kuwa anaishukuru Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kwa kuendesha na kusimamia uchaguzi huo uliomalizika kwa amani na utulivu Oktoba 28.

Katika sherehe hizo zilizofanyika kwa mara ya kwanza mjini Dodoma tangu kuasisiwa kwa taifa la Tanzania, viongozi wa nchi 20 wakiwemo maraisi kutoka Uganda, Comoro, Zimbabwe pamoja mabalozi 83 wamehudhuria.

Kwa upande wake Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni, akitoa salaam zake za pongezi kwa Rais Magufuli mara baada ya kuapishwa kwake, amesema kuwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki hazina budi kuongeza mshikamano na kutanua masoko ya ndani ili ziweze kujitegemea na kuhakikisha uchumi wa nchi hizo unakuwa.

Aidha, Rais Museveni amesema kuwa tatizo la baadhi ya viongozi wa nchi za Afrika wamegawanyika baada ya kupata uhuru.

Hata hivyo, katika kiapo hicho cha Rais Magufuli pia aliapishwa makamu wake Mh. Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • MATOKEO YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 November 05, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA RUKWA ATOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 27, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI RUKWA LAPOKEA MAGARI MATATU YA KISASA KUIMARISHA SHUGHULI ZA UOKOAJI

    October 27, 2025
  • SERIKALI YATOA PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA HALMASHAURI RUKWA

    October 24, 2025
  • MBIO ZA MWENGE ZAENDELEA KALAMBO RUKWA, MIRADI YA MAENDELEO YAENDELEA KUMULIKWa

    September 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa