• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Ufugaji

Mifugo

HALI YA UFUGAJI,  NYANDA ZA MALISHO NA MALISHO YA MIFUGO

Idadi ya mifugo kwa aina zake kwa kila Halmashauri

Idadi ya Mifugo kwa aina zake katika Halmashauri

LGA

NG'OMBE

MBUZI

KONDOO

NGURUWE

PUNDA

KUKU

SDC

242,327

91,266

16,723

14,382

4,759

118,132

SMC

36,417

19,265

1,085

13,010

928

104,378

KDC

155,010

38,475

8,355

7,442

2,795

161,123

NDC

257,504

47,794

29,834

4,011

3,161

129,834

Jumla

691,258

196,800

55,997

38,845

11,643

513,467

LGA

BATA

KANGA

NJIWA

MBWA

PAKA

SUNGURA

SDC

12,527

5,930

-

14,155

3,987

1,408

SMC

7,938

529

6,245

8,199

1,325

2,870

KDC

6,882

775

7,843

6,714

1,178

1,348

NDC

6,275

1,055

5,404

10,409

2,114

1,020

Jumla

33,622

8,289

19,492

39,477

8,604

6,646

Chanzo: Taarifa za kila mwezi Mkoa wa Rukwa  2019/2020

Matumizi ya Rasilimali za Ardhi, Maji na Malisho kwa ajili ya Mifugo

Eneo lililotengwa na kupimwa kwa ajili ya ufugaji

Hakuna maeneo mapya yaliyotengwa, yaliyopimwa na kumilikishwa kwa wafugaji vijijini kwa ajili ya malisho katika kipindi cha mwaka 2019/2020.

Kwa sehemu kubwa mifugo vijijini hutegemea malisho ya asili kwa njia ya kuchunga katika maeneo ambayo hayajapimwa pamoja na kuhamahama kulingana na upatikanaji wa maji na malisho katika maeneo ambayo hayatumiki kwa kilimo na shughuli nyinginezo kwa sasa.

Maeneo ya ufugaji yanayotambuliwa, yaliyopimwa na kumilikiwa kisheria yana jumla ya Hekta 78,684.63 katika Mashamba makubwa ya mifugo ambayo ni Ranchi ya NARCO Kalambo yenye Kitalu Na. 55/9  ukubwa Ha. 23,588.32, na Vitalu vingine 13 vya Wawekezaji wa NARCO Kalambo vyenye ukubwa wa jumla ya Ha. 39,438.72. Mashamba mengine ni Ranchi ya SAAFI Ltd (Ha. 6,855.59) na Efatha Ministry (Ha. 8,802) kama ilivyo kwenye jedwali namba 5.

Mchanganuo wa ukubwa wa eneo la ufugaji linalotambuliwa kisheria

Shamba/Mmliki

Ukubwa wa eneo la ufugaji katika Halmashauri husika (Ha)

NDC

SDC

KDC

SMC

JUMLA

Kalambo NARCO Ltd

51,224.33

0

11,802.71

0

63,027.04

SAAFI  Ltd  Farm

6,855.59

0

0

0

6,855.59

Efatha Ministry

0

0

0

8,802.00

8,802.00

Jumla

58,079.92

0

11,802.71

8,802

78,684.63

Jedwali Na. 6: Mifugo katika Mashamba makubwa ya mifugo katika Mkoa wa Rukwa





Idadi mifugo

Jina la Shamba

Ukubwa (Ha.)

Halmashauri

Mmiliki

Aina

Anzia Jul.2019

Ishia  Juni 2020

Ranchi Kuu ya Kalambo

23,588.32

Nkasi na Kalambo
NARCO
Ngombe

809

1,317

Kondoo

266

284

Mbuzi

138

214

Nguruwe

99

236

Farasi

10

11

Ranchi ndogo 13 za Kalambo

39,438.72

Nkasi na Kalambo
Wawekezaji 13 kwa Mkataba na  NARCO
Ng’ombe

14,872

*

Kondoo

1304

*

Mbuzi

1,905

*

Punda

43

*

SAAFI  Ltd

6,855.59

Nkasi
SAAFI Ltd
Ng’ombe

342

*

Efatha Heritage Farm

8,802

Sumbawanga Manispaa
Efatha Ministry
Ng’ombe

329

291

Mbuzi

348

339

Chanzo: Taarifa za kila mwezi za Halmashauri na Mashamba Mkoa wa Rukwa  2019/2020  * Hakuna Taarifa

Viwanda vya Vyakula vya Mifugo

Katika Mkoa kuna kiwanda kidogo kimoja cha vyakula vya kuku kilichopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga. Kiwanda hicho kinazalisha na kufungasha vyakula hivyo katika mifuko yenye ujazo wa kilo 50. Kwa mujibu wa taarifa zilizowasilishwa, pamoja na kukabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa soya, katika kipindi cha mwaka 2019/2020 uzalishaji na mauzo ulikuwa kama ifuatavyo:-

Viwanda vya Vyakula vya Mifugo Uzalishaji na Mauzo

Na.
Jina
Aina ya Vyakula
Uzalishaji (Kg)
Mauzo (Bags @ 50kg)
Bei ya Mauzo kwa @ 50kg
1
Royal Animal Feeds
Chicks mash
5,000
69 = 3,450kg
65,000


Growers mash
5,000
75 = 3,750kg
48,000


Layers mash
5,000
70 = 3,500kg
50,000

Chanzo: Kiwanda cha Royal Animal Feeds 

Usafirishaji Vyakula vya Mifugo

Jumla ya tani 755.5 za pumba za mahindi kwa ajili ya vyakula vya mifugo zilisafirishwa kwa vibali kutoka Manispaa ya Sumbawanga kwenda Arusha na tani 0.5 kutoka Kasesya kwenda Kigoma. Pia tani 2 za chakula cha nguruwe ziliingizwa nchini kutoka Zambia kupitia Kituo cha Kasesya.

Mifugo ni Mingi na Ngozi ni nyingi Mkoa wa Rukwa , Ngozi iliyokaushwa kwa njia ya Chumvi

Ngozi iliyokaushwa kwa hewa


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (kulia) alipotembelea kiwanda cha nyama cha SAAFI ambacho ni kiwanda pekee kilichopo Mkoa wa Rukwa. 

Ombi kwa Wawekezaji

Pamoja na kuwepo kwa ng'ombe wengi kufikia nusu ya idadi ya wananchi wanaoishi Mkoa wa Rukwa bila ya kuiongelea mifugo mingine tunaona kuwa kuna uhitaji mkubwa wa uwepo wa viwanda vingi vya kusindika nyama pamoja na malighafi zinazotokana na mifugo hiyo ikiwemo ngozi, pembe, n.k.


Matangazo

  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • JAMII ISHIRIKIANE NA WALIMU KUKUZA TAALUMA

    February 16, 2023
  • Kampeni Upandaji Miti

    February 07, 2023
  • TASAF

    February 05, 2023
  • RAS Mchatta akagua miradi

    January 26, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa