Idadi ya Mifugo kwa aina zake katika Halmashauri
LGA |
NG'OMBE |
MBUZI |
KONDOO |
NGURUWE |
PUNDA |
KUKU |
SDC |
242,327 |
91,266 |
16,723 |
14,382 |
4,759 |
118,132 |
SMC |
36,417 |
19,265 |
1,085 |
13,010 |
928 |
104,378 |
KDC |
155,010 |
38,475 |
8,355 |
7,442 |
2,795 |
161,123 |
NDC |
257,504 |
47,794 |
29,834 |
4,011 |
3,161 |
129,834 |
Jumla |
691,258 |
196,800 |
55,997 |
38,845 |
11,643 |
513,467 |
LGA |
BATA |
KANGA |
NJIWA |
MBWA |
PAKA |
SUNGURA |
SDC |
12,527 |
5,930 |
- |
14,155 |
3,987 |
1,408 |
SMC |
7,938 |
529 |
6,245 |
8,199 |
1,325 |
2,870 |
KDC |
6,882 |
775 |
7,843 |
6,714 |
1,178 |
1,348 |
NDC |
6,275 |
1,055 |
5,404 |
10,409 |
2,114 |
1,020 |
Jumla |
33,622 |
8,289 |
19,492 |
39,477 |
8,604 |
6,646 |
Chanzo: Taarifa za kila mwezi Mkoa wa Rukwa 2019/2020
Hakuna maeneo mapya yaliyotengwa, yaliyopimwa na kumilikishwa kwa wafugaji vijijini kwa ajili ya malisho katika kipindi cha mwaka 2019/2020.
Kwa sehemu kubwa mifugo vijijini hutegemea malisho ya asili kwa njia ya kuchunga katika maeneo ambayo hayajapimwa pamoja na kuhamahama kulingana na upatikanaji wa maji na malisho katika maeneo ambayo hayatumiki kwa kilimo na shughuli nyinginezo kwa sasa.
Maeneo ya ufugaji yanayotambuliwa, yaliyopimwa na kumilikiwa kisheria yana jumla ya Hekta 78,684.63 katika Mashamba makubwa ya mifugo ambayo ni Ranchi ya NARCO Kalambo yenye Kitalu Na. 55/9 ukubwa Ha. 23,588.32, na Vitalu vingine 13 vya Wawekezaji wa NARCO Kalambo vyenye ukubwa wa jumla ya Ha. 39,438.72. Mashamba mengine ni Ranchi ya SAAFI Ltd (Ha. 6,855.59) na Efatha Ministry (Ha. 8,802) kama ilivyo kwenye jedwali namba 5.
Mchanganuo wa ukubwa wa eneo la ufugaji linalotambuliwa kisheria
Shamba/Mmliki |
Ukubwa wa eneo la ufugaji katika Halmashauri husika (Ha)
|
||||
NDC |
SDC |
KDC |
SMC |
JUMLA |
|
Kalambo NARCO Ltd
|
51,224.33 |
0 |
11,802.71 |
0 |
63,027.04 |
SAAFI Ltd Farm
|
6,855.59 |
0 |
0 |
0 |
6,855.59 |
Efatha Ministry
|
0 |
0 |
0 |
8,802.00 |
8,802.00 |
Jumla
|
58,079.92 |
0 |
11,802.71 |
8,802 |
78,684.63 |
Jedwali Na. 6: Mifugo katika Mashamba makubwa ya mifugo katika Mkoa wa Rukwa
|
|
|
|
Idadi mifugo |
||
Jina la Shamba
|
Ukubwa (Ha.) |
Halmashauri |
Mmiliki |
Aina |
Anzia Jul.2019 |
Ishia Juni 2020 |
Ranchi Kuu ya Kalambo
|
23,588.32 |
Nkasi na Kalambo
|
NARCO
|
Ngombe
|
809 |
1,317 |
Kondoo
|
266 |
284 |
||||
Mbuzi
|
138 |
214 |
||||
Nguruwe
|
99 |
236 |
||||
Farasi
|
10 |
11 |
||||
Ranchi ndogo 13 za Kalambo
|
39,438.72 |
Nkasi na Kalambo
|
Wawekezaji 13 kwa Mkataba na NARCO
|
Ng’ombe
|
14,872 |
* |
Kondoo
|
1304 |
* |
||||
Mbuzi
|
1,905 |
* |
||||
Punda
|
43 |
* |
||||
SAAFI Ltd
|
6,855.59 |
Nkasi
|
SAAFI Ltd
|
Ng’ombe
|
342 |
* |
Efatha Heritage Farm
|
8,802 |
Sumbawanga Manispaa
|
Efatha Ministry
|
Ng’ombe
|
329 |
291 |
Mbuzi
|
348 |
339 |
Chanzo: Taarifa za kila mwezi za Halmashauri na Mashamba Mkoa wa Rukwa 2019/2020 * Hakuna Taarifa
Katika Mkoa kuna kiwanda kidogo kimoja cha vyakula vya kuku kilichopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga. Kiwanda hicho kinazalisha na kufungasha vyakula hivyo katika mifuko yenye ujazo wa kilo 50. Kwa mujibu wa taarifa zilizowasilishwa, pamoja na kukabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa soya, katika kipindi cha mwaka 2019/2020 uzalishaji na mauzo ulikuwa kama ifuatavyo:-
Viwanda vya Vyakula vya Mifugo Uzalishaji na Mauzo
Na.
|
Jina
|
Aina ya Vyakula
|
Uzalishaji (Kg)
|
Mauzo (Bags @ 50kg)
|
Bei ya Mauzo kwa @ 50kg
|
1
|
Royal Animal Feeds
|
Chicks mash
|
5,000
|
69 = 3,450kg
|
65,000
|
|
|
Growers mash
|
5,000
|
75 = 3,750kg
|
48,000
|
|
|
Layers mash
|
5,000
|
70 = 3,500kg
|
50,000
|
Chanzo: Kiwanda cha Royal Animal Feeds
Jumla ya tani 755.5 za pumba za mahindi kwa ajili ya vyakula vya mifugo zilisafirishwa kwa vibali kutoka Manispaa ya Sumbawanga kwenda Arusha na tani 0.5 kutoka Kasesya kwenda Kigoma. Pia tani 2 za chakula cha nguruwe ziliingizwa nchini kutoka Zambia kupitia Kituo cha Kasesya.
Mifugo ni Mingi na Ngozi ni nyingi Mkoa wa Rukwa , Ngozi iliyokaushwa kwa njia ya Chumvi
Ngozi iliyokaushwa kwa hewa
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (kulia) alipotembelea kiwanda cha nyama cha SAAFI ambacho ni kiwanda pekee kilichopo Mkoa wa Rukwa.
Ombi kwa Wawekezaji
Pamoja na kuwepo kwa ng'ombe wengi kufikia nusu ya idadi ya wananchi wanaoishi Mkoa wa Rukwa bila ya kuiongelea mifugo mingine tunaona kuwa kuna uhitaji mkubwa wa uwepo wa viwanda vingi vya kusindika nyama pamoja na malighafi zinazotokana na mifugo hiyo ikiwemo ngozi, pembe, n.k.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0735019734
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa