• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Rukwa kuondokana na udumavu na kuimarisha lishe kwa watoto

imewekwa Tar: August 9th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Rukwa h. Joachim Wangabo amewataka viongozi na watendaji wa serikali katika ngazi mbalimbali pamoja na wadau wa lishe mkoani humo kuonyesha bayana michango wao katika kukabiliana na tatizo la utapiamlo, kubaini kiwango cha utapiamlo katika maeneo yao na kutoa taarifa na tathmini ya ufanisi wa zoezi hilo.

Amesema kuwa inasikitisha sana kuona mkoa wa Rukwa ukiwa ni miongoni mwa mikoa mitano inayoongoza kwa uzalishaji wa chakula nchini, ukiwa na asilimia 56.3 ya watoto wa umri wa miaka mitano wenye udumavu tofauti na wastani wa kitaifa wa asilimia 34 na kushtushwa zaidi na asilimia 23 ya watoto hao kuwa na uzito pungufu ikilinganishwa na asilimia 13.6 ya kitaifa.

Ameyasema hayo katika hotuba yake ya uzinduzi wa mpango mkakati wa lishe wa mkoa ulioshirikisha wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, waganga wakuu na timu zao za afya, maafisa maendeleo ya jamii, wachumi wa halamashauri, wataalamu kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa pamoja na kamati ya ulinzi na usalama Mkoa.

Aidha, ametaja sababu kadhaa zinazosababisha hali hiyo kuwa ni pamoja na ulishaji duni wa watoto wachanga na watoto wadogo, ukosefu wa elimu ya lishe kwa sehemu kubwa ya jamii, ushiriki wa wanawake katika shughuli za kiuchumi, uwekezaji mdogo katika masuala ya lishe, pamoja na kutopanga uzazi.

Mh. Wangabo alisema kuwa watoto waliopata huduma bora za lishe hasa katika kipindi cha siku 1,000 za kwanza za uhai wao, yaani tangu mama anapopata ujauzito hadi mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili wanapata faida zitakazodumu katika maisha yao yote.

“Faida apatazo mtoto  ni pamoja na ukuaji na maendeleo mazuri ya ubongo  uwezo mzuri wa kukabiliana na maradhi, uwezo mzuri kiakili, uwezo wa kujifunza na ufanisi mzuri  masomoni, uwezo zaidi wa kujiingizia kipato wakati wa utu uzima. Lishe duni si tu inaathiri maendeleo ya ukuaji wa watoto wetu kimwili na kiakili bali pia ni chanzo cha kupungua kwa tija katika nguvu kazi ya taifa.”Alisema.

Kwa upande wake mratibu wa Afya ya mama na mtoto mkoa wa Rukwa Asha Izina alisema kuwa lengo kubwa ni kufanikisha suala la kuboresha hali ya lishe na kupunguza athari za utapiamlo katika kila Wilaya ambapo Mkuu wa wilaya husika atatkiwa asimamie hilo.

‘’Malengo ni kuhakikisha kuwa Wilaya inasimamia ipasavyo utekelezaji wa  afua za lishe 

Kuchukua hatua madhubuti za kupunguza hali duni ya lishe katika eneo lake

Kupanga na kutenga fedha kwa ajili ya kutekeleza afua za lishe katika mipango ya  Halmashauri, ‘’ alisema

Mkoa wa Rukwa ni 17% tu ya watoto wa umri wa chini ya miezi sita ndio wanaonyonyeshwa maziwa ya mama pekee kama inavyosauriwa na wataalamu. Pia 32.8% ya watoto wenye umri wa miezi 6-23 ndiyo waonapata chakula mchanganyiko unaostahili, halikadhalika 40.9% ya watoto wa miezi 6-23 wanapata idadi ya milo mitano inayotakiwa kwa siku. 12% ya watoto wa miezi 6-23 wanapata kiwango cha chini cha mlo unaokubalika kama ilivyoainishwa na vigezo vya shirika la afya Duniani.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa