NFRA KANDA YA RUKWA YAANZA KUNUNUA MAHINDI
Wakulima na wananchi wa Mkoa wa Rukwa wanajulishwa kuwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Rukwa umeanza zoezi la kununua mahindi toka kwa wakulima
Kwa mujibu wa taarifa ya Wakala huo bei ya shilingi Mia Tano (500/-) kwa kilo ndio inayotumika Hivyo wananchi wenye nia wanaweza kutembelea vituo vya ununuzi wa mahindi chini ya wakala kujua taratibu zingine
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa