Friday 9th, June 2023
@Sumbaawanga
Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI, Kifua Kikuu, Dawa za Kulevya na Magonjwa yasiyoambukiza inafanya zaiara ya siku mbili kwenye Halmashauri za Manispaa ya Sumbaanga na Halamashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kuanzia tarehe 27 hadi 28 Septemba 2021 kwa lengo la kukagua shughuli za utoaji huduma za afya.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa