Friday 9th, June 2023
@
Mkoa wa Rukwa imezindua zoezi la upandaji miti kwa ajili ya kuhamasisha jamii kuutunza mazingira na kurejesha uoto wa asili ambapo jumla ya miti Elfu Kumi imepandwa katika wilaya ya Kalambo.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa alizindua kampeni hiyo jana (24.01.2022) katika kijiji cha Sundu wilaya ya Kalambo ambapo taasisi za umma na sekta binafsi zimeshiriki kupanda miti pembezoni na bwawa la maji la Sundu.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa