Friday 9th, June 2023
@Sumbawanga
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kushirikiana na Mkoa wa Rukwa umeandaa kikao cha hamasa kwa ajili ya kuutambulisha mpango wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka mitano (UnderFive Birth Registration Initiative-U5BRI)
Kikao kitafanyika tarehe 02.11.2021 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ,Mjini Sumbawanga.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa