Friday 9th, June 2023
@Sumbawanga
Tarehe 09 Desemba mwaka huu Tanzania Bara itaadhimisha sherehe ya miaka 60 ya Uhuru. Kimkoa maadhimisho haya yatafanyika kaika kijiji cha Kaengesa Wilaya ya Sumbawanga tarehe 08 Desemba mwaka huu ambapo mgeni rasmi atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti
Kauli Mbiu: Miaka 60 ya Uhuru: Tanzania Imara.Kazi Iendelee.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa