Friday 9th, June 2023
@Sumbawanga
Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani ngazi ya Mkoa wa Rukwa yatafanyika kimkoa katika kijiji cha Ilemba Wilaya ya Sumbawanga tarehe Mosi Desemba mwaka huu
Kauli Mbiu: "Zingatia Usawa : Tokomeza UKIMWI. Tokomeza Magonjwa ya Mlipuko"
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa