Monday 5th, June 2023
@
Mkoa wa Rukwa leo umezindua kampeni ya Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano. kamapeni hii itakuwa kwa siku nne hadi tarehe 21 Mei mwaka huu ambapo lengo ni kuwafikia watoto 217,674 kote katika halmashauri za mkoa wa Rukwa. Uzinduzi umefanyika katika kituo cha afya Mazwi Manispaa ya Sumbawanga ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa Mhe. Joseph Mkirikiti.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa