Monday 5th, June 2023
@
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Mama Anne Makinda atafanya ziara ya kikazi ya kuhamasisha wananchi na viongozi wa mkoa wa Rukwa kushiriki kwenye zoezi la sensa mwaka huu. Ziara hii itafanyika tarehe 08 Julai 2022 kwa kutembelea wilaya za Sumbawanga na Kalambo
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa