Friday 9th, June 2023
@
Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa imeanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa Ilani Uchaguzi ya Mwaka 2020-25.
Zizara hiyo itafanyika kwa siku saba katika Halmashauri zote nne za Mkoa wa Rukwa ambapo wajumbe watakagua miradi ya Halmshauri.
Kwa Mujibu wa ratiba iliyotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa inasema ziara itaanza tarehe 09 Machi 2022 kwa kutembelea Halamshauri ya Wilaya ya Nkasi na itamalizika tarehe 16 Machi 2022.
Taarifa zaidi zitakuwa zikitolewa kwenye tovuti hii. Fuatilia
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa