Friday 9th, June 2023
@Sumbawanga
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili kwenye wilaya ya Kalambo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imesema ziara hiyo itaanza tarehe 26 na 27 Octoba mwaka huu ambapo atatembelea, atakagua miradi ya maendeleo pia atazungumza na wananchi kwenye mikutano ya hadhara.
Kujua yatakayojili kwenye ziara hiyo tembelea mitandao ya kijamii ya Mkoa wa Rukwa.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa